Mh! Huu ndiyo ubishi wa kijinga, unaposema Rwanda hapakuwa na chama kilichoitwa
Mbona unabisha bila hoja?
Soma historia ya Rwanda upate ABC badala ya kubisha kama zuzu!
Kwani chama tawala cha Rwanda kabla ya Genocide ya mwaka 1994 kilikuwa kinaitwaje?
MRND ( in france language 'Mouvement...
Mkuu hauko sahihi, Ariel Sharon hakuuwawa,alikaa miaka minane hospitali bila kujitambua, alifariki 11/01/2014. Waziri Mkuu aliyeuwawa alikuwa anaitwa Yitzhak Rabin, aliuwawa tarehe 04/11/1995. Aliuwawa na kijana anayeitwa Yigal Amir.
Mkuu Kiwanga siyo Mbunge wa Viti Maalum,huyu ni Mbunge wa Jimbo la Mlimba lililopo katika Mkoa wa Morogoro!
Wakati mwingine muwe mnajaribu kupunguza u ngese wenu!
Teh teh teh!Kitu muhimu kinachoangaliwa katika kutafsiri sheria ni lengo la kutungwa kwa sheria husika, ukitafsiri sheria kama juha unaweza kujikuta hufikii malengo ya sheria husika.
Je unajua lengo la kuondoa shughuli za kibinadamu ndani ya mita sitini kutoka mtoni?
Je sheria hii ipo applicable...
*Hata kama hakuna kiongozi wa Africa aliyetenda mazuri kama yeye lakini ukweli unabaki palepale, ni kweli aliwatendea watu wake mazuri, lakini pia alifuja rasilimali za nchi.
*Nyerere kwa aliyoyafanya kuhusiana na Biafra na alichokifanya Gadafi kwenye vita ya Tanzania na Uganda, hawa wote wawili...
Mkuu! mimi nimepangilia hoja zangu vizuri,nimemkosoa gadafi katika maeneo manne,kipi kati ya hivyo nilivyovielezea hakiko sahihi?
*Libya ilikuwa na katiba iliyoruhusu demokrasia?
*Gadafi na familia yake hawakujilimbikizia mali?
*Gadafi hakuwa upande wa Uganda wakati wa vita vya Tanzania na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.