Hakuna mtu anayepinga Kikwete kulitumikia taifa kama rais mstaafu kinachopingwa ni uharamia wanaoufanya kama kumpitisha Samia juu kwa juu kuwa mgombea wakati hakusitahili.
Unamtoaje huyu kwenye shambulio la kutaka kumuua Lissu wakati mazingira yote yanaonyesha kuwa yeye ndiye muhusika namba moja kutokana na vitendo alivyomfanyia Lissu?.
Alikataa kugharamia matibabu ya Lissu ili Lissu afe,alimvua ubunge,alikataa kumulipa haki zake,JPM alitakiwa ajinasue mwenyewe...
Hoja yangu hapo ni kwamba kama makombora ya Iran yaliweza kupenya safu 4 za ulinzi wa silaha za kisasa za Israel je kati ya Iran na Israel ni nina aliyetumia silaha za kisasa zaidi? Hivi kwa akili yako unaamini kabisa makombora ya Iran yaliyotumika yalikuwa ya zamani na bado yakazishinda silaha...
Ni kweli katumia silaha za kisasa,lakini kuna ushahidi wowote unaothibisha umilikaji wa silaha za kisasa kwa Israel ndio hizohizo au ana miliki silaha za kisasa zaidi ya hizo?na kwa upande wa madai ya Iran kuwa makombora waliotumia ni ya kizamani kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa...
Heche na CHADEMA ni kawaida yao kukemea maovu ya serekali ya CCM na wanapoikosoa wanatekwa na kuuawa,ulitakiwa ushangae Polepole ambaye ameshindwa kuvumilia maovu ya CCM na kuungana na Heche na CHADEMA kukemea maovu ya CCM na serekali yake.
Mahali ilipofikia Iran ni kweli inaweza ikawa nazo na kama haina inauwezo wa kununua au ikasaidiwa na washirika wenzake kama Russia lakini kwa sasa hakuna ushahidi unaothibitisha kuwa Iran inamiliki silaha hizo kinachoelezwa ni kwamba urutubishaji wa madini wa Iran unaelekea kiwango cha kufikia...
Propaganda za vita ni hatari tupu, si ajabu ukawasikia Iran kuwa wanasilaha za kumpiga Mungu,wamesahau kuwa mwenzao wanayemtishia ana miliki vichwa 90 za silaha za nuclear na huwezi ukasikia ana jitamba kuwa ana miliki silaha kama hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.