Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya s
Hongera zao kwa kurudisha ndege zote hizo 300 ambazo zilifanya mashambulizi naona walizirudisha pamoja na majeneza yake.
Iran wametumia ubabe mkubwa kwa kuishambulia Israel lakini ndege zote na mkombora yote,yameishia kutunguliwa na IDF na washirika wake,makombora na ndege zao zilianza kutunguliwa kabla hata ya kuingia Israel,ubabe mwingi na kelele nyingi lakini matokeo yake sawa na sifuri.
Wakati wenzao wanaojua...
Huyo Makonda unayemuita kuwa ni strong ndiye aliyekuwa ana mfagilia rais wa sasa katika ziara zake zote alizofanya na kumuwekea mazingira mazuri ya kushinda urais kwa siku zijazo.
Hata hivyo katika hili la udhaifu huwezi ukamtoa Magufuli kwa kuwa yeye ndiye aliyetufikisha mahali hapa kwa...
Hivi huyu Makonda ambaye ameamua kusanua wizi wa CCM na ujangiri wa serekali ya CCM mchana kweupe, siku wananchi watakapokuja kuambiwa wasiipe CCM kura kwa sababu ni wezi na serekali yake atakuja kubisha kuwa CCM na serekali yake siyo wezi?.
Kama hutanyosha mkono chama tawala utaishia kugombea tu,ni mpaka uliwe kwanza ndio ufikriwe kupata nafasi na baada ya hapo ujifunze judo na careti zitakazo kupa nguvu za kuteka wagombea na kupora form za wagombea wa vyama vya upinzani,ukishindwa hapo jiandae siku ya kupiga kura kujaza kura fake...
Kwa mjibu wa CCM muheshimiwa mpaka sasa alishapita bila kupingwa,wadanganyika tutaendelea kukaa bila Rais, tutaendelea kutawaliwa na wazanzibar mpaka CCM watakapoamua wenyewe.
Wazanzibar wana marais wawili mpaka sasa,anayeiongoza Zanzibar na yule anayeiongoza Tanzania ndio maana kwa sasa hivi...
Suala siyo kutofautiana na serekali,tatizo nipale viongozi wa dini mnapogeuka kuwa kama misukule wa serekali kwa kutumikishwa na serekali zaidi ya kumuogopa Mungu aliyewaita kumutumikia na mwisho wake munakutwa na viroba vya fedha za escrow.
Kuna kiongozi mmoja wa CCM alitajwa na Lissu kuwa ni kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania,baada ya hapo kiongozi huyo akajitaja mwenyewe kuwa yeye ni kichaa ndio maana anawateua vichaa wenzake katika utawala wake.
Sasa sijui kati ya Lissu ambaye ukichaa wake haujathibitishwa popote, na...
Aisee hii habari utafikri tulikuwa wote siku muharifu mmoja alipo kamatwa na majeshi yetu kipindi kile ambacho Rwanda,Burundi na Uganda walipopanga kumpindua Kabila kwa madai ya kukiuka makubaliano yao waliokuwa wamekubaliana kwa kuwa Kabila alilewa kwa sehemu kubwa na Tanzania,yule mateka...
CCM hawawezi kukaa meza moja na watu waelewa na wenye akili kama Mpina,wao wanataka watu mambumbumbu,wajinga na wasiokuwa na akili ili wanapofanya mambo yao ya hovyo wawapigie makofi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.