Recent content by Tukundane

  1. Tukundane

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya s Hongera zao kwa kurudisha ndege zote hizo 300 ambazo zilifanya mashambulizi naona walizirudisha pamoja na majeneza yake.
  2. Tukundane

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwani baada ya shambulio la Iran ni ndege ngapi zilirejea Iran baada ya kufanya shambulio?.
  3. Tukundane

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Kwa mjibu wa waisrael wenyewe, binti aliumizwa na kipande cha chuma kilichotokana na kombora lao wenyewe,wakati wanatungua ndege za Iran.
  4. Tukundane

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Iran wametumia ubabe mkubwa kwa kuishambulia Israel lakini ndege zote na mkombora yote,yameishia kutunguliwa na IDF na washirika wake,makombora na ndege zao zilianza kutunguliwa kabla hata ya kuingia Israel,ubabe mwingi na kelele nyingi lakini matokeo yake sawa na sifuri. Wakati wenzao wanaojua...
  5. Tukundane

    Makonda nakuamini, usirudi nyuma

    Huyo Makonda unayemuita kuwa ni strong ndiye aliyekuwa ana mfagilia rais wa sasa katika ziara zake zote alizofanya na kumuwekea mazingira mazuri ya kushinda urais kwa siku zijazo. Hata hivyo katika hili la udhaifu huwezi ukamtoa Magufuli kwa kuwa yeye ndiye aliyetufikisha mahali hapa kwa...
  6. Tukundane

    Je, ni sahihi sadaka ikatumwa kwa M-Pesa na Tigo Pesa au ni janja janja ya viongozi wa makanisa ya kiroho?

    Sadaka ya Mungu inatolewa madhabahuni sadaka zinazotolewa kwa kupitia mitandaoni ni za wanadamu.
  7. Tukundane

    Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

    Kumbe simba ina mwenyewe.
  8. Tukundane

    Baadhi ya Watanzania wanyonge maeneo mbalimbali wampigia magoti Paul Makonda kumuomba arejee mitaani kuendelea na ziara

    Hivi huyu Makonda ambaye ameamua kusanua wizi wa CCM na ujangiri wa serekali ya CCM mchana kweupe, siku wananchi watakapokuja kuambiwa wasiipe CCM kura kwa sababu ni wezi na serekali yake atakuja kubisha kuwa CCM na serekali yake siyo wezi?.
  9. Tukundane

    Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

    Kama hutanyosha mkono chama tawala utaishia kugombea tu,ni mpaka uliwe kwanza ndio ufikriwe kupata nafasi na baada ya hapo ujifunze judo na careti zitakazo kupa nguvu za kuteka wagombea na kupora form za wagombea wa vyama vya upinzani,ukishindwa hapo jiandae siku ya kupiga kura kujaza kura fake...
  10. Tukundane

    CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, huyu wa Kizimkazi asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

    Kwa mjibu wa CCM muheshimiwa mpaka sasa alishapita bila kupingwa,wadanganyika tutaendelea kukaa bila Rais, tutaendelea kutawaliwa na wazanzibar mpaka CCM watakapoamua wenyewe. Wazanzibar wana marais wawili mpaka sasa,anayeiongoza Zanzibar na yule anayeiongoza Tanzania ndio maana kwa sasa hivi...
  11. Tukundane

    Askofu Malasusa: Sijalelewa kuwa Kinyume na Serikali, Sijalelewa kutoitii Serikali!

    Suala siyo kutofautiana na serekali,tatizo nipale viongozi wa dini mnapogeuka kuwa kama misukule wa serekali kwa kutumikishwa na serekali zaidi ya kumuogopa Mungu aliyewaita kumutumikia na mwisho wake munakutwa na viroba vya fedha za escrow.
  12. Tukundane

    Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

    Kuna kiongozi mmoja wa CCM alitajwa na Lissu kuwa ni kiongozi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania,baada ya hapo kiongozi huyo akajitaja mwenyewe kuwa yeye ni kichaa ndio maana anawateua vichaa wenzake katika utawala wake. Sasa sijui kati ya Lissu ambaye ukichaa wake haujathibitishwa popote, na...
  13. Tukundane

    M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

    Aisee hii habari utafikri tulikuwa wote siku muharifu mmoja alipo kamatwa na majeshi yetu kipindi kile ambacho Rwanda,Burundi na Uganda walipopanga kumpindua Kabila kwa madai ya kukiuka makubaliano yao waliokuwa wamekubaliana kwa kuwa Kabila alilewa kwa sehemu kubwa na Tanzania,yule mateka...
  14. Tukundane

    Catherine Magige: Luhaga Mpina ni mtu wa ovyo ambaye haamini uongozi wa mwanamke

    CCM hawawezi kukaa meza moja na watu waelewa na wenye akili kama Mpina,wao wanataka watu mambumbumbu,wajinga na wasiokuwa na akili ili wanapofanya mambo yao ya hovyo wawapigie makofi.
Back
Top Bottom