Haka kamama kakichangia humu huwa kanaboa,Hebu jikumbushe hapo chini ndio utajua ikulu inaongozwa na sembe, wala usitegemee familia yako na marafiki zako watakuwa na maisha mazuri mbele ya safari kwa staili ya upofu wako.Inaleta huzuni kila kukicha kiongozi mkuu wa kitaifa yupo uchochoroni...
Kwanza ngoja nikujibu, ila sikupaswa nikujibu
1;Mimi si mwanachama na sina mpango wa kuw mwanachama, nikichangia hapa nasimamia uhalisia wa jambo na sio kutetea wakati maisha kwangu hayaeleweki na familia yangu
2;Hao Chadema,leo hii wanakufanya upate hata nafasi ya kupanua mawazo yako hapa...
Ukiona mtu anaanza kusemwa hadharani ujue amevumilika sana ila sasa imefika mwafaka,Huyo Letecia huenda wanamvutia pumzi kama Zito, mahali popote, msaliti huwa anatapatapa ni kama wamemwonya kuliko kukaa kimya na kumfukuza bila kujiandaa. CCM kazi yao ni kuua vyama,n vyama ni watu, hivyo...
MMMH KAMA NDIYO HAYA HAPA CHINI SIJUI KAMA TUTAFIKA, KUTWA WASANII YAANI KWELI KIONGOZI WA NCHI AMEWATELEKEZA WAPIGA KURA WAKE YUPO BIZE NA WAKATA MAUNO NA WALA SEMBE. ILA YANA MWISHO! NGOJA BTUSUBIRI WALA MLIO NA UCHUNGU NA HAYA MAISHA MAGUMU MSIFE MOYO IPO SIKU MTAKOMBOLEWA...
Mkuu we hesabu ulipata F nini , 1milage =1.609km, kwa hiyo fanya hesabu upya utapata jibu. Turudi kwenye hoja, hapa serikali inatafuta pesa ya uchaguzi na si vinginevyo.Sina utalaaam sana ila wingi wa milage au km siyo uzee wa gari inategemea kama hilo gari lina shughuli gani. Wengine shughuli...
Mkuu we upo dunia gani,wasanii wengi wanabebeshwa sembe tu,hakuna haja ya kuumiza kichwa.Huenda wanasafirisha viroba vya sembe maana kila matukio ya sembe jamaa hayatolei maamuzi.Akili mkichwa
FUNGUA HIZI NDIO UTAJUA NCHI INAKWENDA WAPI,MUACHE KUSHABIKIA WAPIGA MITEPPESHO SIKU LIKIBUMA MNASHIKA MIDOMO,WENZAO WAPPO HUKO
http://brotherdanny5.blogspot.com/2014/01/barua-kutoka-china-vigogo-wa-dawa-za.html...
Yaani watu wana elimu zao na vipaji vya kuweza kulijenga taifa na ambao wangehitaji msaada wa huyu jamaa yeye anahangaika na wakata mauno,sasa sisi hao wanatusaidia nini wkati kazi yao ni kutuburudisha.Halafu kama huyo millioner sura imekaa kiunga unga vile,tusubiri mtajaniambia mbeleni,Wapi...
Msitake kutuzingua, nchi haieleweki ipo wapi inaenda wapi, jamaa yupo kuzunguka na wauza sembe,hapo ukute mzigo wa haja umefika ulipotakiwa watu wanapeana pongezi.Watu wanakufa mahospitalini baba wa nyumba kutwa kufatilia dili za sembe ,Tuongeze maombi hili janga lipite haraka
Chezea sembe wewe, huenda dogo kavusha viroba inabidi akampe promo, Liinchi limelaaniwa kila kukicha drugs, halafu mshikaji anasema anayo majina anamezea, Si huyuhuyu watu wanasema eti kipenzi wake wa kumzaa alitaka kunyongwa huko kwa wenyewe,then kipande cha nchi kikauzwa kwa mikataba 19 ya...
WENGINE HAO HAPO,BONYEZA LIKE UTAWAPATA
http://brotherdanny5.blogspot.com/2014/01/barua-kutoka-china-vigogo-wa-dawa-za.html
http://brotherdanny5.blogspot.com/2014/01/dawa-za-kulevya-china-ni-shaba-tu-kwa.html...
Hata mimi nilishafiwa sio geni kwang hata upewe pole ngapi hazisaidiii,muhimu hapa wewe uliyefiwa unastahili hizo pole?Maana naona watu wapo busy kujadili aliyekufa wakati uchungu anao mfiwa.Maswali ya msingi,Je aliyefiwa anastahili kupewa pole?Kama damu za watu zilipotea hamkuona umuhimu iweje...
Wewe utakuwa Chadema-Kata haufahamu nafasi aliyokuwa nayo Mama yake Zitto ndani ya Chama hapa watu hawamuongelei Zitto.
Mkuu wal siongelei huyo mama alishatutoka na sidhani kama atarudi,issue ipo kwa aliyefiwa.Hata mimi nilishafiwa sio geni kwang hata upewe pole ngapi hazisaidiii,muhimu hapa...
Tuache unafiki humu jf,yaani huyo zito kufiwa ndio imekuwa muhimu kuliko hao wapambanaji waliokufa na mabomu arusha ambayo kwa kutokuungana na wenzake kwenda kushiriki msiba wa waliokufa bila hatia mpaka ikapelekea kila mtu kudhani aliungana na savimbi kuratibu mpango wa kumuangamiza mwenyekiti...
Tunakutakia pole mkuu kwa kumpoteza mama kipenzi mungu alilaze roho yake mahali pema peponi.Mama pumzika kwa amani pamoja na wote walioondoka saa na siku uliyotuacha.Bila kusahau mheshimiwa Nyepesi,Binadamu duniani ni kama mapito,kaaa chini utafakari na uwasamehe wote waliokukosea na kutubu yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.