Ngugu C.T.U asante sana kwa bandiko lako zuri pamoja na ushauri mzuri.
Huduma ya internet majumbani na maofisini ipo muda mrefu tu, pengine labda tatizo ni matangazo hayajawafikia sana.
Installation ni bure endapo utanunua router na kulipia kifurushi cha kuanzia.
Kifurushi cha gharama za chini...
Tumekurahisishia! Sasa nunua kifurushi chako pendwa cha BUFEE na ulipie kupitia akaunti yako ya T PESA.
Ni rahisi sana.
Piga *148*30#
Kisha ingiza 6 BUFEE PACK
Jitengenezee kifurushi kisha chagua lipa kupitia T PESA.
#RudiNyumbaniKumenoga
Buhigwe Kumenoga!
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amezindua mnara wa Mawasiliano wa 4G Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma.
Buhigwe Garuka Imuhila Halanoze...
UZINDUZI WA T-PESA APP:
T-PESA yazindua huduma ya T-PESA App ikiwa ni katika kuendelea kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali za kifedha. Sasa ni rahisi na Salama ukiwa na T-PESA App. #NafuunaSalama
#RudiNyumbaniKumenoga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.