Recent content by tsix

  1. tsix

    Mimi ni mvivu kweli, naombeni ushauri

    Mazoezi.my.. Jitahidi kuwa na ratiba ya kuamka mapema kwa ajili ya mazoezi.. Kichwa kitakuwa sharp.. Ukitoka mazoezi fanya shuhuli zako ndo uondoke home
  2. tsix

    Mwenyezi Mungu anasema nini juu ya mwanandoa wa tabia hii?

    Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza;wala sio mimi ila bwana ; mke asiachane na mumewe Lakini ikiwa ameachana naye na akae asiolewe,au apatane na mumewe;tena mume asimwache mkewe
  3. tsix

    Haniulizi kwa lolote

    Nimempenda bure.. Natamani ningekuwa yeye..
  4. tsix

    TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

    Pole heaven sent.. Mungu akutie nguvu
  5. tsix

    Utulivu wangu umeniponza kwa huyu mwanamke ni bora ningekuwa tu kicheche

    Mkimbie huyo kabisa..utaharibu familia yako.. Kama hujajaribu ni bora usijaribu..
  6. tsix

    Maana ya pete katika uhusiano

    Kwa uelewa wangu pete huvaliwa moyoni.. Ni ile nadhiri kwamba nakupenda kwa moyo wangu wote na hali zangu zote. Kuvaa pete ya ndoa/uchumba kama hauijui thamani yake moyoni ni sawa na urembo tu.
  7. tsix

    Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu

    Mwanamke mwenye hekima angemshauri mume wake kufanya hvyo vtu chumbani kabla ya kutoka kwa sababu baba ameshaonesha kutopendezwa na hyo hali. Usisubirie mume wako akuambie mfanye nini.. Huyo ni mzazi kwake hata kama hakuwa na mchango kwenye maisha yake.. Naelewa its boring mtu aje kwako na...
  8. tsix

    Hivi ni sawa kwa mwanamke kutoa siri za ndani?

    Sometimes tu anakuwa overwhelmed anashindwa anabidi @least amwambie mtu...
  9. tsix

    Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

    MAYBE Atakuwa ana mtu mwingine..hvyo haoni mvuto kwako. Kuna wengine hata zaidi ya mwaka.. Kama una moyo we kuwa mpole fuatilia taratibu utajua ana mchepuko.
  10. tsix

    Mwanamke ni sawa kusema hapana kwenye ndoa na sio kulialia

    Siyo rahisi sana..wanaume wengine wajeuri hawapendi kuambiwa makosa yao.. Ukimwambia ndo anazidi kukuchukia ..mwingine anakaa miez mitatu hata akusemeshi kisa umemuuliza jambo lenye ukweli.. Bora kunyamaza na kusali tu pale unapoona ukiongea inakuwa too much
  11. tsix

    Uvumilivu

    Amen
Back
Top Bottom