She z human jamani..
Anaweza akawa na sababu nyingi tu..
Mvumilie..ila jitahidi kuwa karibu sana na yeye..
Chunguza kama ana stress..
Mpe nafasi akusimulie hzo stress..
Mcomfort.. bila kugusia sex..
Atarudi tu kwenye mstari..
Cyo sahihi kutafuta mchepuko..na huyo mchepuko akikunyima then wht...
Kuwa mda mrefu cyo sababu ya kuachana ..ila mnapokuwa mda mrefu mnafahamiana ki undani zaidi..inawapa nafasi ya kuona kama unaweza ku keep up mkiwa kwenye ndoa
Siyo rahis sana mtu kukuambia ishu kama hyo..especially akiwa anakupenda..
Atakuwa anakupima..
Nendeni mkapime afya zenu then kama mko serious na mnapendana kweli past z nothng to worry abt.
Habari zenu wapendwa,
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.