Jaribu kukaa na binti yako umueleze kuwa anatakiwa amwachie dada afanye kazi za ndani na yeye awe anamsaidia tu kidogo na vilevile ukae na dada umwambie kuwa anatakiwa ampe nafasi binti yako awe na wakati wa kusoma maana yeye ndio amekuja hapo kwako awe anafanya majukumu hayo na sio huyo mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.