Baba alinifundisha kuwa natakiwa niwe na marafiki wa faida zaido ya marafiki wajinga wajinga, KENYA WAMECHAGUA RAFIKI FASAHA, waarabu ni washenzi washenzi mtu mwenye akili hapaswi kuwa rafiki wa hao washenzi. ACHA TUNYIMWE MISAADA TUISOME NAMBA DAADEKI
kutokana na kuongezeka na kundi la watu wasiofahamika ambao wamekuwa wakitenda ama kutekeleza aina mbalimbali za kiuhalifu, tunaliomba jeshi la polisi litupe mbinu mbadala ya jinsi gani tunaweza kukabiliana na watu hao.
KINGA NI BORA KULIKO TIBA
HATA MUNGU HAYUPO KWA AJILI YA WALIO WEMA NDO MAANA AMEKOKA MOTO HUKO MBINGUNI ILI KUWABANIKA WENYE DHAMBI. Chadema kumchukua Wema ama wengine wote ambao mfumo unawaonea ni jambo jema kabisa. IDDI AZAN KAMA KADA NA MBUNGE MSTAAFU WA CCM ANAKASHFA ZA KUUZA NGADA TANGU NAKUNYWA UJI HADI L EO HII...
Kitendo cha kumtaja Mwenyekiti wa Chadema, Iddi Azan na Manji ni dalili tosha kuwa maombi yetu ya kuomba kuletewa mapapa wa madawa ya kulevya yamepuuzwa maana wameamua kutulete NYAGUMI.
JAMANI HATA MBOWE??????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.