Recent content by Trump2

  1. T

    Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

    Very stupid!Kigogo, Zitto, Lema ndiyo Watanzania wengi?
  2. T

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Aibu yao akina Kigogo, Zitto Kabwe, Lema nilioona wanaandika ujinga.
  3. T

    Rais Magufuli afanya uteuzi: Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Nachingwea Watenguliwa

    CC: KIGOGO, GODBLESS LEMA, MARTIN MM, Evarist Chahali
  4. T

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Mkuu Wabongo wanafiki sana, Presidaa ameamua kuwatega, tayari wamemiss
  5. T

    Uwazi wa Rais Magufuli unawatesa sana akina Ansbert Ngurumo

    Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi. Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais...
  6. T

    Hakuna mazingira yanayofanya iwe halali kupindua nchi na kuuondoa uongozi uliopo madarakani kwa nguvu bila uchaguzi

    Nimesoma Makala iliyoandikwa kwenye Mtandao wa Kijamii wa Jamii Forums na mtu anayejiita SYNTHESIZER yenye kichwa cha habari "Kuna Mazingira yanafanya iwe halali kupindua nchi na kuondoa uongozi uliopo Madarakani kwa nguvu bila uchaguzi. Makala hiyo ambayo ilitolea mfano wa hatua...
  7. T

    Zitto kwa roho yako ya korosho, ungekuwa Rais tusingewauzia Zambia mbegu za korosho

    Bado unatapatapa tu, sijaona sehemu ya Sheria hiyo inayosema kuiuzia nchi nyingine korosho akapande ni kuhujumu uchumi, nani kakwambia hayo mataifa mengine tunayoyauzia kakwambia Nani hayaendi kutumia kama mbegu? Wapi imeelezwa kuiuzia nchi nyingine mbegu ni kuhujumu uchumi? Hayo mataifa...
  8. T

    Zitto kwa roho yako ya korosho, ungekuwa Rais tusingewauzia Zambia mbegu za korosho

    Wewe ni miongoni mwa wagonjwa Wa akili. Kwa hiyo ukimuuzia unampa na masharti kwamba akale na asipande?
  9. T

    Zitto kwa roho yako ya korosho, ungekuwa Rais tusingewauzia Zambia mbegu za korosho

    Tarehe 06/10/2019 Rais Magufuli aliahidi Tanzania kuipatia Zambia tani 25,000 za mbegu ya Korosho baada ya Rais Wa nchi hiyo Edgar Lungu kuomba Tanzania iwauzie tani 50,000. Kufutia ahadi hiyo ya Rais Magufuli, Zitto Kabwe aliibuka na kuandika kwenye akaunti yake ya Twitter kuwa Rais Magufuli...
Back
Top Bottom