Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.
Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais...
Nimesoma Makala iliyoandikwa kwenye Mtandao wa Kijamii wa Jamii Forums na mtu anayejiita SYNTHESIZER yenye kichwa cha habari "Kuna Mazingira yanafanya iwe halali kupindua nchi na kuondoa uongozi uliopo Madarakani kwa nguvu bila uchaguzi.
Makala hiyo ambayo ilitolea mfano wa hatua...
Bado unatapatapa tu, sijaona sehemu ya Sheria hiyo inayosema kuiuzia nchi nyingine korosho akapande ni kuhujumu uchumi, nani kakwambia hayo mataifa mengine tunayoyauzia kakwambia Nani hayaendi kutumia kama mbegu?
Wapi imeelezwa kuiuzia nchi nyingine mbegu ni kuhujumu uchumi? Hayo mataifa...
Tarehe 06/10/2019 Rais Magufuli aliahidi Tanzania kuipatia Zambia tani 25,000 za mbegu ya Korosho baada ya Rais Wa nchi hiyo Edgar Lungu kuomba Tanzania iwauzie tani 50,000.
Kufutia ahadi hiyo ya Rais Magufuli, Zitto Kabwe aliibuka na kuandika kwenye akaunti yake ya Twitter kuwa Rais Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.