Uwazi wa Rais Magufuli unawatesa sana akina Ansbert Ngurumo

Trump2

JF-Expert Member
May 28, 2017
1,553
2,608
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?

Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza?

Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.
Mkuu achana na hao mazezeta wengi wao wanasumbuliwa na ugonjwa unautwa phobia
 
Watu wakikosa hoja mwisho wa siku wanageuka kuwa vituko mtoa mada achana na huyo ngurumo aliyekosa akili.
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.

Huyo dikteta unaesema ni muwazi hebu atueleleze tenda ya ununuzi wa ndege ilifanyika lini na nani aliitisha
 
"Labda kosa la serikali ni kuonyesha fedha hizo wazi wazi"
Sasa unapingana nini na Ngurumo?

Nchini watu wengi wana changamoto zinaozofanana na kutofautiana. Rais wa nchi anapogawa hela hadharani kwa HURUMA ya changamoto ya mtu mmoja,wale wengine wenye changamoto hizo wanabaki na tafakari ipi? Leo aseme wote waliodhurumiwa ng'ombe au walioshindwa kulipia gharama za matibabu ya ndugu zao hadi maiti kuzuiliwa wajitokeze,patakuwa hapatoshi.
Taasisi ya Urais iweke mfumo wa kusaidia walau hata kuwe na mfuko maalumu ambao utaratibiwa na ofisi ya rais. Kwa namna hii atagusa sehemu kubwa ya WAHANGA kuliko hii ya kurusha vibunda barabarani.

Uwazi upi unao utetea? Kugawa hela hadharani! Nani anajua hela hizo zinatoka fungu /mfuko upi? Uwazi ni kuwekwa wazi kwa fedha husika zinatoka wapi! Watu walihoji RC anapata wapi pesa za kugawa ,akasema marafiki zake wanampa. Watu wanajiuliza hao marafiki wananufaikaje na utoaji huo? Tusitetee mambo yenye ukakasi kama hayo,tushauri kwa namna chanya.

Anyway, computer zilizohifadhi taarifa za maburungutu yale, ZIMEIBIWA.
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.
Well said mkuu,100% true.
Hawa wa kina Ansbert wao watuachie JPM wetu atujengee nchi wao waendelee kubwabwaja huko waliko.
Hili la JPM kutafuta suluhu na mafisadi nadhani pia hawakupenda,so lazima wabwabwaje huko waliko.
 
Hadi nchi inauzwa migodi ,visima vya gesi,kuuza twiga wetu tuliiona mikataba hiyo ikitiwa sahihi live?
Tulichoona live ilikuwa Bongo flava,na Bongo movie.
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.
Unajua kuhusu 1.5trillion?
 
Yaani ni like father, like son! Mtoto amejigeuza Papaa mutu ya pesa mingi! na baba yake naye mwendo ni ile ule. Wanagawa tu maburungutu ya hela (milioni 5/10) huku wananchi walio wengi wakitaabika na ugumu wa maisha.

Ni haki watanzania kuhisi mnayapata kwa hao mafisadi na wahujumu uchumi.
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.
Utetezi wa kijinga utadhani tupo miaka ya 1960's
 
Nimeona 'Tweet' ya Ansbert Ngurumo akikosoa hatua ya mtuhumiwa Wa uhujumu uchumi kurudisha pesa zikiwa kwenye maboksi na utaratibu wa rais Magufuli kuwasaidia wananchi mbalimbali anapokuwa katika ziara mbalimbali za kikazi.

Kinachowasumbua NGURUMO na watu wengine Wa aina hiyo ni uwazi Wa Rais Magufuli. Watanzania hawakuzoea kuona mambo yakifanyika kwa uwazi namna hii.

Watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliorejesha fedha ni wengi lakini aliyerudhisha fedha kwa njia ya maboksi ni mmoja, ni yule aliyekuwa akipokea mil.7 kwa dakika. Fedha hizo zimerudi kwa mtindo huo kwa vile zilikuwa zimefishwa kwenye maboksi hivyo hivyo, hazikuwa benki. Labda kosa la Serikali ni kuzionesha waziwazi. Ansbert alizoea mambo ya gizani gizani. Lakini mbona hakuhoji pesa zilizorudishwa kwenye maboksi na Serikali ya Kenya pamoja na Dhahabu baada ya kukamatwa nchini humo?
Rais kuwapa wananchi wenye shida pesa taslimu wakati akiwa kwenye ziara zake eti nalo ni suala la kukosoa! Hivi mtu ambaye anakosa sh. Laki 5 Ansbert anataka awekewe pesa hivyo kwenye akaunti? Kwanza hiyo akaunti ya benki mtu huyo anayo? Mgonjwa anayehitaji msaada wa hapo hapo awekewe pesa benki kwanza? Malipo ya kuchukua maiti hospitalini pia? Lakini kubwa katika hili bado linabaki kuwa ni uwazi, unajuaje kama Rais akitoa msaada kupitia benki kama pesa hizo zitamfikia mlengwa zote na kwa wakati?

Watanzania wengi wameelewa nia ya dhati ya Rais Magufuli kwa Wananchi wake, hawa akina ANSBERT NGURUMO wanateseka bure

Hongera Taifa Stars kwa kututoa kimaso maso huko Sudan.

Tofautisha uwazi na maigizo. Nasikia kwenye huo uwazi eti waliojiandikisha kupiga kura ni 19m, mbona hatujaona uwazi wa hiyo misururu iliyoandikisha watu 19m. Uchaguzi wa 2015 na kujiandikisha kwa kitambulisho cha NIDA tuliona misururu, iweje hapa kusiwe na uwazi wa hiyo misururu?
 
Back
Top Bottom