Sasa wakati anapiga kelele za kujiokoa mbona wananchi walipotezea?, labda tabia zake wanazijua, (mhalifu sugu),hata hivyo kuna taratibu njema za kudeal nae
Aonyeshe ushahidi hadharani waliopitishwa wakiwa na mapungu ili twende sawa biashara ya kulishana matango pori haifai, weka form zao hapa hadharani, hata za kufoji tu,ili tujiridhishe
Uwezekano wa kuving'oa vyama vya siasa kongwe barani afrika unaendelea vyema, ni zamu ya hapa kwetu, muhimu mtawala akubali kushindwa na akabidhi kwa amani madaraka.
Aliesoma ndio aliekusudiwa ujumbe huu.
Pia soma - Chama tawala chini ya Masisi chapoteza madaraka katika uchaguzi Botswana baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.