Recent content by troiker

  1. troiker

    Kwanini Paul Makonda anautafuta wokovu sasa kwani ametenda dhambi gani inayomtafuna?

    MAKONDA ni maji ya kunywa na unajua umuhimu wa maji mwilini,usipoyanywa madhara yake ni makubwa sana ,kikiwemo na kifo,hivyo endelea kumtaja kila uchao ili usife
  2. troiker

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    Hilo ni jukumu la CHADOMO
  3. troiker

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    Kwanini unaiogopa tume?,,acha Luhaga Mpina afanye kazi yake ya kibunge
  4. troiker

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Yaani ndio wanaharibu kabsaa
  5. troiker

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Akishindwa kuelewa haya madini basi huyo jamaa ni msukule halisi
  6. troiker

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Wamekuwa mapoza ile mbaya kila zama na nyakati
  7. troiker

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Nyumba za umma ulikuwa ni uamuzi wa baraza la mawaziri,na Sumaye aliwahi kutoa ufafanuzi kwenye hilo,IQ yako ni ndogo sana,unadandia maneno usiyoyajua,utakuwa choko wewe
  8. troiker

    Kinana nyoosha maneno Hayati Magufuli hakupora fedha halali za wananchi wema, bali aliwanyanganya mafisadi pesa za umma walizopora

    Umejinyea au?,elewa hoja, it's about the late king Magufuli against elephant pocher Mr Kinana
  9. troiker

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Fungueni kesi mahakamani tumechoka na hii ngonjera mwaka wa nne sasa,au unatumikia kafiri?
Back
Top Bottom