Recent content by Tripplep017

  1. Tripplep017

    PreGE2025 Inasemekana ukurasa wa X (Twitter) wa Jeshi la Polisi umedukuliwa. Je, ni kutokana na tamko la jana la Rais Samia?

    Mbona account yao ipo fresh, nmeingia na sijaona kitu? Au mnazungumzia ukurasa gan?
  2. Tripplep017

    Ni chakula gani watu wanakipenda lakini wewe hujawahi kukielewa kabisa?

    Chipsi aiseee!!!, kitu kinaitwa chipsi sidhani kama nitakuja kula hata kwa bahati mbaya!!!
  3. Tripplep017

    Natafuta Mchumba/Mume

    Nipø najiulza swali moja hapa:- Mapenzi na degree vinauhusiano gan? Maana kila mwanamke vigezo vyake anataka mwanaume mwenye degree! Je, ukiwa na degree ndo unakuwa na mapenzi ya dhat? Na vp kuhusu sisi ambao hatujasoma, tusioe wasomi au? Hapo unakuwa unatafta mwanaume mwenye elimu ya juu au...
  4. Tripplep017

    Natafuta mume

    Sema kuna watu wana madharau sana! Hapo mahali yake ya kumuoa mnahc itakuwa shngap??? Halaf mwanamke mwenyewe kasoma lakn ndo hvyo!!! Hamna kitu! Kwa akili ya haraka haraka hapo anatafuta pesa na sio mme!!! Akili kumkichwa utaelewa nin namanisha 🧏🧏🧏🧏🧏
Back
Top Bottom