Recent content by Tripole J

  1. T

    JamiiForums Tanzania Sensa: Leo ni leo, Kazi ni Moja tu!, Kuhesabiwa!

    Utaesabiwa ww na familia yako lakin mm sihesabiwi Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  2. T

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aagiza askari wenye vitambi kurejeshwa mafunzoni

    Mazaa ajielewi asimamie nn baada ya kutoa matamko ya maana anatoa matamko ambayo sio logic kabisa. Yeye mbona anakitambi.
  3. T

    JamiiForums Tanzania LATRA: Stendi binafsi za mabasi ya mkoani siyo halali lakini zina vibali

    Panda mwendokasi 650 iyo ya tax umejitakia
  4. T

    JamiiForums Tanzania LATRA: Stendi binafsi za mabasi ya mkoani siyo halali lakini zina vibali

    Magufuli stand ni sahihi kuwekwa pale maana ya kupanua mji. Ukiweka kila kitu mjini mfano pale ubungo Stand sio Afya kwasababu ya population ya watu. Afu pili saivi mwendokasi imeshafika hadi pale, kwaiyo hakuna usumbufu tena. Muhimu ni kuwakataza wamiliki wa Basi kuwa na stand binafsi ili...
  5. T

    JamiiForums Tanzania LATRA: Stendi binafsi za mabasi ya mkoani siyo halali lakini zina vibali

    Wao sio wajinga kujenga huko maana yake ni kupeleka maendeleo mahala pengine. Ebu fikiria stand ya Dodoma wameweka kule ili mji undelele upande wa Morogoro Road wangeweka katikati ya jiji isingeleta Afya. Sometimes muwemnafikiria kwa akili za kawaida.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

    Yeye kaona anahujumiwa ili hali sisi tunapomuuliza maswali mustakabali wa kero zetu anatuuelekeza tukawaambie wa chini yake, kwani sisi hatujawaona hao wa chini yake? Kwaiyo kaona lake halijawekwa sawa ndio anaropoka.Vip kuhusu matatizo yetu? Tunapomueleza afu anayatupa kapuni ww kwa ubongo wako...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

    Magufuli kafanayo. Alisikika akisema mlamba asali moja huko Bumbulu
  8. T

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

    Mto puru alikubali kuliwa www je ushatoa puru lako uliwe
  9. T

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

    Kweli Magufuli alistahili kuondoa wenye veti feki kama ww mbumbu.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

    Kuwajua wanawake aitaki uende darasani, anataka aonekane alivyokuwa mrembo kwenye mahala pakupiga kazi. Rais maskini wa fikra sana huyu. Tanzania nchi yangu yenye maajabu ya karne.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

    Labda inamjua kwa ufisadi wake na unafki Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  12. T

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kumkosoa Mama yetu kwa staha. Binafsi naamini anatusikia

    Mm ni mwadilifu niliotukuka siwezi fanya upuuzi wa kuwaibia watanzania wenzagu. Nyie mnaoendelea kulamba asali endeleeni. Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  13. T

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kumkosoa Mama yetu kwa staha. Binafsi naamini anatusikia

    Anarangi gani mpuuzi moja tu huyo empty mind in her head. Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  14. T

    JamiiForums Tanzania Maswali tata juu ya Tanzania bila Magufuli

    Wewe huoni kwamba ni shujaa kuliko hao waliopita? Maneno bila vitendo ni kazi bure. Viva Magufili.
  15. T

    JamiiForums Tanzania Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

    Vyuma vilikaza lakini maendeleo tuliyaona alibana majeti aliwazibiti mafisadi.Huyu mama ako anaachia goli wazi kila mtu afunge.
Back
Top Bottom