Mpira umekwisha. Mamelodi wanaondoka na ushindi mwembamba wa 1-0 mbele ya full packed stadium kwao huko Kwa Madiba.
Nani atachukua taji la champions league CAF?! Takribani week moja ijayo kwenye second leg final match tutajua bingwa ni nani watakapominyana Tena.
Mtanange uko live
Mamelodi wanaongoza 1-0.
Kipindi Cha pili kinataka kuanza VAR haifanyi kazi.
Refa anasema tukipige bila VAR, Mamelodi wanasema sawa, ila AS FAR RABAT wanasema hapana. VAR itengenezwe kwanza.
Mechi imesimama mafundi wanashughulikia VAR.
AFRICA KIVYETU VYETU
Leo mechi ni nyingi. Za majuu uefa champions league na Africa champions league.
Wapi pa kuangalia mechi kama nne Kwa pamoja hapa DAR? Bar au pub au kibanda umiza?
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.