Recent content by Tripo9

  1. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Nilichoona kwenye mtandao wa TAUSI katika kununua viwanja Bagamoyo nimejiridhisha tunahadaiwa sana

    Yaani, viwanja saa nne asubuhi vimetangazwa vinaamza kuuzwa, Mimi nisha log in dakika 10 kabla. Viwanja vikaachiwa watu wachague nakiona kabisa kiwanja hiki hapa kimefunguka nikiendelea mbele naambiwa hamna kiwanja kishachukuliwa, naenda kingine vivyo hivyo Changa la macho tunapigwa na...
  2. Tripo9

    JamiiForums Tanzania BOXING: Michael Soro amchapa kwa TKO Hassan Mwakinyo. Pambano limechezwa Parc Des Expositions, Abidjan, Ivory Coast. Juni 11, 2026

    Wapiganaji: · Michel Soro (Ufaransa): Rekodi 38-4-2, 27 KOs. Mtaani hujulikana kama "mkongwe", na amewahi kupigania ubingwa wa WBO miaka iliyopita. · Hassan Mwakinyo (Tanzania): Rekodi 25-3-0, 18 KOs. Anajulikana kwa ushindi wake wa kushtua dhidi ya Sam Eggington, na amekuwa mshindi wa mabao...
  3. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    Mpira umekwisha. Mamelodi wanaondoka na ushindi mwembamba wa 1-0 mbele ya full packed stadium kwao huko Kwa Madiba. Nani atachukua taji la champions league CAF?! Takribani week moja ijayo kwenye second leg final match tutajua bingwa ni nani watakapominyana Tena.
  4. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    Dakika ya 72 Bado mamelodi wanaongoza 1-0 ila watajilaumu nafasi kama mbili wamezikosa.
  5. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    VAR imeshatengemaa after a delay ya almost 9 minutes Mtanange umeshaanza ....
  6. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Full Time: CAF CHAMPIONS LEAGUE FINAL | 1st leg | Mamelodi Sundowns 1-0 AS far Rabat

    Mtanange uko live Mamelodi wanaongoza 1-0. Kipindi Cha pili kinataka kuanza VAR haifanyi kazi. Refa anasema tukipige bila VAR, Mamelodi wanasema sawa, ila AS FAR RABAT wanasema hapana. VAR itengenezwe kwanza. Mechi imesimama mafundi wanashughulikia VAR. AFRICA KIVYETU VYETU
  7. Tripo9

    JamiiForums Tanzania FT Nsingizini 0-3 Simba SC | CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Somhlolo National Stadium| 19.10.2025

    https://www.youtube.com/live/hboaZ48fb4w?si=SLOJq1R30Iy3_-G0
  8. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Thamani ya Yanga ni Tsh. Bilioni 100, Simba ni Tsh. Bilioni 20

    Mmmh
  9. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Hizi taarab ungekua ushanijib. Anyhow nishajibiwa tayar
  10. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Duh umenifungua. Nilidhan wachezaji leagues za afrika kote sio nje ya Africa.
  11. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Kwa nn si Yuko pyramids
  12. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Wakuu Mayele Yuko bench ama kashasajiliwa uarabuni?
  13. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 Niliyoyaona Leo huku Kocha Fahdu akiipeleka fainali Stellenbosch

    Sura Yako utaiweka wapi tarehe 27 Mnyama akiingia final
Back
Top Bottom