Recent content by tripleec

  1. tripleec

    TRA mnarudia kosa lile lile

    Nimesoma huu uzi na nilichogundua kuwa ni halmashauri ndiyo waliopita huko. tra wao hawatoi liseni ni halmashauri ndiyo wanatoa na pia hata sheria ya kuchukua vitu tra hawana utaratibu huo.ukipita hata maeneo ya mjini samora mara nyingi sana utaona wauza nguo au viatu au mabegi wananyan'ganywa...
  2. tripleec

    Moderator:umenikose heshima kuanika ukweli ukaniunganisha kwenye kuchania kuhusu Bar kubwa na TRA

    Du kamanda nini kimekukuta mwenzetu naona ? hebu lete tena uzi huo tuine ukweli moderator alichokwepesha
  3. tripleec

    Waziri Mwigulu Nchemba shughilika na hawa lazy customer care service

    wagongee 0737782222 hapo tra chuga nimetoka ulizia ajira kwa hii namba ipo inaita kamanda
  4. tripleec

    Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

    Poor brain tra huwa hawausiki na liseni za biashara na kama ulivyoweka na ushahidi hao ni Jiji. tra wao huwa wanahusika na tin namba na hata wakipoita wataulizia tin namba au makadirio. Je uliomba kitambulisho ukaona ni tra? siyo kila anayekuja dukani ni tra kuna tra wao wataulizia makadirio tin...
  5. tripleec

    Je inawezekana kwa familia ya wafanyakazi kuishi bila dada wa kazi au ni kujiendekeza tu?

    Yes inawezeana kabisa kwani kuwa mfanyakazi haimaniishi shughuliza nyumbani usifanye. Ni kujiwekea mfumo tu mzuri na kusaidiana ndani. Mbona wakati mtu upo single mambo yalikuwa poa tu. Muhimu kusaidiana ndani na kama umejipanga vizuri ukiwa na kamashine kako ka kufulia unakuwa umepunguza kero...
  6. tripleec

    TRA Portal, ni mfumo mpya unaohitaji Elimu ya kutosha na maandalizi ya mwaka mzima

    Sasa Fazili mbona mfumo wenyewe mleta mada kasema unaanza Feb na wewe unasema lazima utumie vishoka mara Rejected wewe umejuaje mkuu hebu tuambie maana mfumo bado haujaanza.
  7. tripleec

    DOKEZO Waziri Ulega tunaomba uanze na Barabara zilizofumuliwa bila kukamilishwa hapa Kigamboni

    Ila wahusika inamaana hawajaona au maana kweli Temeke ,hadi Kijichi njia nzuri mno. Na kwanini walichimba na kuziacha hivo maana si kwa tope hilo.
  8. tripleec

    Dar Es salaam: CG Mwenda , Desemba ni mwezi wa kuwashukuru walipakodi na kuwasikiliza

    Chief tra wao wanapelekewa sheria na malengo.Ndiyo kila mwaka unaona bungeni utasikia hiki kipande hivi hiki kipande vile.Hawana meno ya kupunguza au kuongeza sababu tayari ni sheria wamepewa kuzisimamia.Ni muda muafaka kuwauliza wawakilishi wetu.Ni kweli nakubaliana nawe kodi ni muhimu ila nami...
  9. tripleec

    Dar Es salaam: CG Mwenda , Desemba ni mwezi wa kuwashukuru walipakodi na kuwasikiliza

    Chief nadhani ingeuliza tu swalihumu wapo washauri ŵa kodi wanafunzi wa chuo cha kodi wataalam unaweza pata majibu tu
  10. tripleec

    DOKEZO Waziri Ulega tunaomba uanze na Barabara zilizofumuliwa bila kukamilishwa hapa Kigamboni

    https://www.jamiiforums.com/threads/trafiki-kigamboni-wanalalamika-uzembe-wa-tanroad-tarura-kigamboni-unavyowapa-kazi-ya-ziada.2162115/page-3
  11. tripleec

    Marehemu Amani Kambayao wa TRA aliyeshambuliwa Tegeta ametumikia Taasisi hiyo kwa miaka 6 na alianzia Kazi Shinyanga!

    ndg John. ni ngumu sana watu kukuelewa nimeoma mijadala na kufatilia taarifa mbali mbali ila bado watu ni wagumu kukuelewa. Kama kusoma watumishi wengi wa umma wanasoma wapo madereva wanasoma wapo maofisa wanajiendeleza. ni vile mtu anaamua abakie hapo hapo au ajiendeleze. Sioni cha ajabu...
  12. tripleec

    Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

    Nakubaliana na wewe maana ilimkuta mtu wangu yeye sasa gari yake ilikamatwa na kuja fatilia kumbe kuna gari kama yake ilikuwa na namba zake ikadakwa nayo yeye akaachiwa sababu alikuwa na nyaraka halali akaendelea. Watu wanatengeneza namba bandia na kuvisha kwenye magari yao
  13. tripleec

    PSSSF yashika nafasi ya Kwanza katika Tuzo za Uandaaji Bora wa Mahesabu za NBAA, 2023

    Hii habari mbona inashangaza maana niliona ni TRA wakitangazwa kuwa washindi kwenye vyombo vya habari na picha nilizobahatika kuziona Picha namuona naibu wa kamishna wa TRA akipokea tuzo hiyo ya mshindi wa kwanza Naona n
  14. tripleec

    TRA yawatoa hofu Wafanyabiashara kuhusu pesa zao Benki

    ni jambo jema kwa kamishna Mwenda na Gavana Tutuba hatua nzuri niwapongeze kwa mkakati huu mzuri.
  15. tripleec

    Kwanini mashine za EFD ziuzwe bei kubwa na kwanini wafanyabiashara wasikopeshwe na TRA kwa kulipa kidogokidogo?

    Mbona nachojua ukinunua unarejeshewa na walisema badala ya kulipa kodi wanalipizia deni la efd mpaka liishe.. Na pia ili uwe na efd si mpaka mauzo yako kwa mwaka yafike milioni 11?
Back
Top Bottom