Hivi kwani wanaokuwa kanisani ni kina nani? hakuna watu wa JF wanaokuwaga kanisani? Tunaokutana nao shopping na sehemu za kijamii ni kina nani?? (sio hawa humu JF?), na wakazini je? (sio hawa JF). Na hawa waharibifu wa JF (according to you) wanatokea wapi???(sio makanisani, shopping na...
Aisee tatizo ni kubwa mpendwa, naona kama hautaielewa situation yangu ya kuwa na watoto vizuri, thats why nahitaji mwenye mtoto. Pole sana usikate tamaa kuna mabinti wengi utapata mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.