Acha kuandika mambo ya kipuuzi, hasa Taifa linapokuwa na shughuliki kubwa kama msiba huu wa kitaifa. Kama huna kitu cha maana cha kuandika kwa nini usikae kimya??
Uongo. Dar es salaam inaongoza kwa kuwa na watu wanaoshinda na njaa au kushindia mihogo ya kutafuna. Unachukulia hiyo nayo kama sifa ya uchumi wa kati??
Voda ni kampuni ya matapeli. Wanauza airtime kwa wateja, kisha wanachukua tena hizo air time walizouza na kuzimiliki wao. Nina hakika matumizi yangu ya maneno matapeli ni sawa kabisa: yaani kujipatia kitu usichostahili au kwa njia za uanganyifu. Wanafanya hivyo almost kwa wateja wao wote kupitia...
Chadema mnaipa nguvu nyinyi wenyewe kwa woga wenu. Kuna vyama vingi tu vya siasa, lakini kila siku mnaongelea Chadema tu, kwa nini? Kwa nini msioongelee CUF ya Lipumba instead? Acheni woga wenu. Chadema haiwezi kufa kwa kuizuia kufanya siasa. Chama kinakufaga kwa kupuuzwa na wanachama wengi...
Hamtaki tu kukiri kwamba Chadema imewashinda. Hata sasa wakati imefungwa mikono na miguu yote, bado inaendelea kuwadunda; na mnaiogopa kama nini. Nafikiri semeni ukweli: Chadema is too powerful for you. Weka huu uzi wako kisha urudishe hapa wakati kila chama kitakaporuhusiwa kufanya siasa...
KANYAMA,
Mambo mazuri huwezi kuchanganya na mabaya. Sasa tuamini lipi: CCM itashinda kwa kishindo kwa sababu imetekeleza vzr sera zake, au kwa sababu serikali imezuia vyama vingine kufanya siasa? Lipi kati ya hayo mawili wewe unaloona litaisaidia CCM kupata ushindi wa kishindo? Unapiga porojo...
Sheria si tumejiwekea wenyewe? Hata mtu ukimkamata mtu anaua red-handed, kumhukumu kifungo hapo hapo, ni lazima afikishwe mahakamani na asikilizwe kabla ya kuhukumiwa, right? Hata kazini ni hivyo hivyo. Huwezi kutoka huko ulikotoka ukamfuta mtu kazi. Hiyo itakuwa ni maisha ya banana republic...
China hawapo kwenye hiyo list? Mbona miradi yote ya ujenzi wanapewa China? Kwa hiyo ni sahihi kusema Wachina wanakuja kwetu kuchuma na si wabia wa maendeleo kama tuavyosema kila siku? Yaani tunapewa fedha toka Ulaya na Marekani, kisha Mchina ndiye anakuja kuzichukua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.