Anaelinganisha Mwanza na Arusha hajui hata historia ya majiji haya mawili. Kwa ufupi Mwanza ilitangazwa kuwa jiji mwaka 2002, Arusha mwaka 2010. Mwanza inaundwa na manispaa mbili; mwanza jiji na manispaa ya Ilemela. Arusha halmashauri ya Arumeru inayounda jiji la Arusha bado haijawa na hadhi ya...
Kama ni Kwa maendeleo ya Taifa, wanaMwanza na kanda ya ziwa Kwa ujumla acha wabomoe tu. Lakini wasisahau kumlipa fidia kama ana vibali halali kwan in gharama kubwa imetumika kuwekeza pale
Ni jambo Jema, sema fukuafukua hizi sidhani kama zitawaacha marais waliopita salama. Bora tungeachana na yaliyopita tukaweke mifumo mipya ikiwa ni pamoja na katiba mpya.
Vita dhidi ya madawa ya kulevya haikuwahi kumuacha mtu salama. Hawa jamaa wanapesa nyingi. Niliwahi kumsikia msanii mmoja mwathirika wa dawa za kulevya anatoa ushuhuda kuwa anaweza kutumia si pungufu ya laki 5-7 Kwa siku Kwa ajili ya hizo dawa! Kokotoa ni kiasi gani hao wauzaji wanakusanya kwa...
Imezoeleka serikali chini ya wizara yake ya TAMISEMI kutoa vibali vya uhamisho kila January/July ya kila mwaka.
Cha kusikitisha toka uongozi Mpya wa awamu ya tano uingie madarakani hamna uhamisho wowote uliofanyika Kwa kigezo cha uhakiki wa vyeti feki na watumishi hewa.
Hayo yote tumeyakubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.