Recent content by Transparent

  1. T

    Imekaaje!! Hapo? Mnaonaje?

    Ukirudia tena kutoa mapumziko lazima UPIGWE!!!!!
  2. T

    Mishara mipya kwa mwaka wa fedha 2013/2014

    Kuna watu wanakera kwenye JF. Mtu anauliza swali kwa kutaka kujua, kuna watu "wapumbavu" wanaanza kutoa majibu ya kusanifu. Kama hujui jibu la swali ni bora ukapotezea. Kwa upumbavu kuna watu watataka kurumbana na mimi. Naomba tushindane kwa hoja na sio "upumbavuzu"
  3. T

    Mbunge asema sheria ya ndoa ibadilishwe ili watoto waolewe, Je ni mawazo yake au katumwa?

    JF ipo kwa ajili ya kubadilishana mawazo. Wana jamii punguzeni ukali wa maneno,pindi mnapochangia mada. Tuwe na maneno ya busara.
  4. T

    Zanzibar will not sustain itself without Union Sitta: Says currently Mainland meets most of cost in

    Muungano ni mzuri pale nchi zilizoungana zikanufaika na Muungano. Ila nina mashaka na huu muungano uliopelekea likatokea jina la TANZANIA. Kwa uelewa wangu, Tanganyika haipo tena kama nchi lakini Zanzibar inatambulika kama nchi, kwa nini? Kwa kuwa kuna nchi ya Zanzibar basi na nchi yetu ile ya...
  5. T

    Zitto Kabwe, Kikwete na Rais wa Sudani ya Kusini

    Uhuru wa Sudan ya kusini ni fulsa kwa Tanzania kutumia badari ya Dar-es-Saalam na Tanga kupitishia Contena za hao jamaa ili tupate kupandisha Uchumi wa Tanzania....
  6. T

    Free and Independent Zanzibar

    Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbili zilizoungana mwaka 1964 na kupatikana TANZANIA. Je, muungano huu unamanufaa kwa pande zote mbili yaani Tanganyika na Zanzibar?
Back
Top Bottom