Recent content by Transisco06

  1. T

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Kuna Pepsi ya baridi na candies,nambie ikufikiaje
  2. T

    Hivi watumishi wenzangu mnawezaje kupata utajiri wa kuwa na mihela mingi!

    Weka miti mingine,usitoke kwenye line,panda miti mingine kwingine,Mimi nimeanza upya kupanda miti, Iringa magumashi this time Niko Morogoro nimeanza upya kabisa na wala sina muda na kelele za watu, sababu sishindani na mtu ni passion yangu kupanda miti,na wala Sina haraka hata kama ajira ikiisha...
  3. T

    Namna mashirika ya umma yanavyotumia 4R za Rais Samia

    Kama huna biashara za ndani watu wengi wanapanda Terni ya SgR,loss ipo lakini ikulu nayo imekopa mpaka.basi
  4. T

    Aren't: Nchimbi be careful

    Kwani Historia Huwa inafutika? tunachojua ni shida ya Madina na Rome
  5. T

    Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    Commerce and Economy kama hujasoma uulize,impact ya deni inakwenda kwenye house hold level indirect,impact ya stress za kulipa inaenda indirect kwenye house hold level,impact ya deni inleta stress hata kwenye Budget,buda ask to learn not argue to fool.
  6. T

    Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    Sasa athari za mkopo huoni vijiwe vya mazao vyote vimehamia Msumbiki huku mbaazi 500 kwa kilo,na mzunguko wa pesa hakuna,watu wachache ndo ma DJ wa nchii hii,sasa hio sio kudaiwa hadi nyumbani.Huduma za barabara ni mbovu toka doma.mpaka.Bofa ya Tunduma kasoro Iringa,vibarabara vyembamba kama...
  7. T

    Tetesi: 2030 Rais ni Nchimbi na Waziri Mkuu ni Ridhiwani

    Tumegundua Rais nchi hii sio kipaumbele sababu wizi unaanzio huko,sasa watajua wenyewe mpaka wajimalize kwa madeni na utitili wa mikopo umiza na mikataba mpaka vitandani kwao ndo akili itakaa sawa.
  8. T

    Wakazi wa Mbeya mjini wasipodhibitiwa watajenga hadi juu ya Kawetere, matokeo yake si mazuri baadae

    Nchi yenyewe akina Tulia ndo madon,ni njaa na mateso tuu,viongizi wasiojali watu ni kipengele.
Back
Top Bottom