Ukishakuwa addict wa kitu chochote inahitajika nguvu ya ziada kuacha iwe ni unga,chakula,pombe,sex,etc
chukulia mfano wa mtu ambae yuko addicted/obssesed na mume au mke wake(siongelei upendo) unaeza kuta anajua kabisa haya mahusiano hayaendi vizuri ila hana nguvu ya kumuacha,mwingine anaambulia...