NAWASHUKURU SANA WANAJF KWA KUONYESHA UHITAJI WENU....
NAPENDA KUFAFANUA JAMBO MANA WAOMBAJI WAMEKUWA WENGI HASA KUTOKA DSM.
KAZI HII YA DIRECT SALES AGENT(DSA) MALIPO YAKE NI COMMISSION NA RETAINER. KWA WALE WALIOWAHI KUFANYA KAZI YA MAUZO NADHANI WANAELEWA MAANA YA COMMISSION. ILA KWA...
WANASALIMU WANA JF:
Natafuta DSA (Direct sales Agent) katika maeneo yafuatayo: KATESH NA DISTRICT ZA SINGIDA>
SIFA:
1.Awe ameshafanya kazi ya mauzo(sales)
2.awe anajua kusoma na kuandika
3.jinsi yeyote
4.awe mchapakazi
MALIPO:
Commission na pia atakuwa anapata retainer.
Kwawanaohitaji...
HIVI kuna mmojawapo kama mimi anayeikumbuka kauli ya huyu bwana? Namnukuu "UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA NI BOMU LINALOSUBIRI KULIPUKA" Huwa najiuliza mpaka leo hii ni kwanini huyu bwana alisema maneno haya...
n kweli brotha...hata martin luther king aliwah kusema kuna siku marekani itapata rais mweusi ikatokea....hii naona kama kuna siku pia kama unavyosema ila kama serikali haitakuchua njia stahiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.