Kama umesoma kweli, basi aliyekusomesha hakufikiria vyema uamuzi wake kumsomesha mtu kama wewe kwa haya unayoyaandika hapa! Hivi una uelewa kweli kuhusu kata ya kizumbi na barabara kuu inayopita kizumbi? Usipende kujiaibisha bure mzee. Rudi darasani ukaisome upya Shinyanga.!
Kwa uelewa wako umeaminishwa barabara kuu haipiti kizumbi nhelegani? Inavyoonekana wewe ni mgeni na hauufahamu mji wa shinyanga. Kasome upya map ndio uje kubishana hapa. Karibu tena!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.