Mheshimiwa sana Jaji wa rufaa, Judge Jacobs Mwambegele. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi, fukuza wasaidizi wako waliokuandalia taarifa hii ya kupika ya idadi ya wapiga kura. Walipaswa kupitia hata Sensa ya Taifa 2022 kuondoa mkanganyiko huu. Watakupotosha hata wakati wa kupika matokeo ya...
Tatizo Tume ya Uchaguzi imejaa vilaza na makanda wa kusifia Samia tu. Sasa mtu kama Lucas akiajiriwa Tume ya Uchaguzi anaweza kujua hata kupika Takwimu. Ukisoma makala zake unajiuliza hivi Kwa nini mimba hii haikutolewa na mama yake.
Chdema imekubalika hata Heche akikamatwa atayeingia yoyote akifanywa msemaji mkuu wa CDM atakubalika tu. Chama ni maarufu kuliko mtu hata Mbowe kagundua hilo ndiyo maana anajua akiingia Chaumma hana ule umaarufu tena.
Mpinzani hawezi kuwa Rais nchi za kiafrika bila kujubalika na kkupata suport toka kwa wakubwa wa dunia. Mrema na NCCR hawakuwa na sifa hiyo. Usichoke kunywa mtori kama unataka kufikia nyama. Kutegewa muda na bunge la wafadhili wetu siyo jambo ndogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.