Weka picha mkuu na pia hiyo bei kulingana na maelezo yako kama milage na mwaka ilipotengenezwa ni juu, jaribu kuweka bei ambayo ni kulingana na bidhaa yenyewe na sio bei ya kumkamatisha mtu. Kwa sasa tupo digital hivyo watu wanaona bei kwenye websites. Nawakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.