.
Mkuu vp kuhusiana na kuruhusu uvaaji wa nguo za nyumbani shulen hapo???? Na je simu zinaruhusiwa ??? ........na ratiba ya msosi je???? Nisaidie mkuu!
Jaman waalimu wa Tuitionz moshi mjini wanapatikana kwa upande wa phys bios and chems?? Au ndo hivyo m2 akifunga skuli mpaka Dar ndo atapata waalimu wakali??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.