Habari wandugu, nahitaji king'amuzi cha startimes cha dishi dau langu 70,000/=. Pia smartphone aina ya Tecno camon x with dau nililonalo 180,000/=
Kwa Mawasiliano 0676994746.
Nipo Morogoro kwa sasa.
Kutana na mimi hapa nikusaidie namna ya kufungua simu yako bila kuiflash kama umesahau pin, password, au patten.
Napatikana kwa namba 0756525889. Karibuni, huduma ni bei nafuu.
Kumbuka: Ni smartphone aina zote isipokuwa tu iPhone.
Natafuta mwanamke wa kuoa.
Kwanza awe na vigezo vifuatavyo.
1. AWE MNENE, mwanamke mwembamba moyo wangu haumhitaji kabisa.
2. Awe mkweli
3. Muwazi
4. Anajali
5. Umri 20 hadi 24
Umri wangu ni miaka 25.
Pia sifa nilizozianisha hapo juu ninazo mimi pia.
Nipo Morogoro kwa sasa.
Kama yupo aliye...
Natafuta mwanamke wa kuoa.
Kwanza awe na vigezo vifuatavyo.
1. AWE MNENE, mwanamke mwembamba moyo wangu haumhitaji kabisa.
2. Awe mkweli
3. Muwazi
4. Anajali
5. Umri 20 hadi 24
Umri wangu ni miaka 25.
Pia sifa nilizozianisha hapo juu ninazo mimi pia.
Nipo Morogoro kwa sasa.
Kama yupo aliye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.