Recent content by Tour De France

  1. T

    Madenge wa Twitter ni usajili mbovu kuwahi kufanywa na Majizo wa EFM

    Huwa anachanganya "a" na "h" mfano upo wapi ataandika hupo wapi? "Amesema" ataandika "hamesema"... Sasa na hicho kithethe kwenye kutangaza ndio shida zaidi... bora kwenye kuandika.... angekuwa mjanja angewahi mapema kuanzisha online media yake ili watu wamfanyie kazi otherwise anapoelekea...
  2. T

    Kama Yanga wanamweka benchi mshambuliaji hatari kabisa Jean Baleke vipi Simba imng'ang'ania Mukwala ambaye hana faida yoyote

    Tumia akili, Ateba na Mpanzu wote walikuwa na kadi za njano, na kwa jinsi refa alivyokuwa anachezesha wale wote walikuwa kwenye risk ya kupewa kadi ya pili na hivyo kutolewa kwa red.... kocha aliingiza wachezaji wa ku hold mipira na kupoteza muda delaying tactics ilikuwa muhimu sababu hata...
  3. T

    Dulla Makabila anajutia kutoa talaka kwa Zaiylissa, mke wa Haji Manara kwa sasa

    Ndio kusema anampenda mke wa haji manara hadi sasa sio?
  4. T

    Ayobami junior: HIFADHI hili jina kichwani

    Kwenye hizo video anazunguuka kama kishada na kuwapa kizunguzungu wenzake... huyu si wa kukosa timu hata kidogo
  5. T

    Goodluck Gozbert amepotelea wapi?

    Huwa anarembua macho sana... hajafichwa kweli?... mji mzito huu!
  6. T

    Msanii Willy Paul ameonesha umma kuwa ni jinsi gani ni kijana wa ovyo

    Umeandika vitu vingi hata hatujui tushike lipi?
  7. T

    Mambo ya Tupac Amaru Shakur (1971-1996)

    Ulitakiwa umshangae Tupac imekuaje hakuacha hata mtoto pamoja na umaarufu na utajiri wake?.. Bob katuachia kina Ziggy na wenzake , huyo 2pac alitumia muda wake kutukana na kugombana na wanaume wenzake bila sababu za maana... hopeless kabisa yule...
  8. T

    Nikifanya mapenzi na huyu mchepuko napata sana wateja siku hiyo

    Duuh, shetani kakunasa kirahisi sana aisee!... halafu kakutega kizamani na umenasa!... subiri sasa mwisho wa movie
  9. T

    Vivian Kikii adai hawajashirikishwa msiba wa Mzee wao King Kikii

    Ushachanganya madesa tayari... usiwe una comment ukiwa na njaa au usingizi
  10. T

    Jinsi Ex wangu alivyoniharibia binti yangu inaniuma sana

    Binti kafeli form 4 akiwa kwenye himaya yako, malezi mabovu yalianzia kwako... mwenza wako kaenda kumalizia tu kazi ya kumharibu mtoto..... Halafu hii tabia ya kutusumbua kwa matatizo ya maamuzi yenu mabovu ikome! ... mnaokota machangu mnazaa zaa nao halafu mnakuja kutulilia huku...
  11. T

    Jay Combat ndie mrithi wa Juma Mpogo au tusubiri mwingine?

    Huyu ndio kwenye nyimbo yake anasema KAFA PAKA KAZIKWA NYAU?
Back
Top Bottom