Huwa anachanganya "a" na "h" mfano upo wapi ataandika hupo wapi? "Amesema" ataandika "hamesema"... Sasa na hicho kithethe kwenye kutangaza ndio shida zaidi... bora kwenye kuandika.... angekuwa mjanja angewahi mapema kuanzisha online media yake ili watu wamfanyie kazi otherwise anapoelekea...
Tumia akili, Ateba na Mpanzu wote walikuwa na kadi za njano, na kwa jinsi refa alivyokuwa anachezesha wale wote walikuwa kwenye risk ya kupewa kadi ya pili na hivyo kutolewa kwa red.... kocha aliingiza wachezaji wa ku hold mipira na kupoteza muda delaying tactics ilikuwa muhimu sababu hata...
Ulitakiwa umshangae Tupac imekuaje hakuacha hata mtoto pamoja na umaarufu na utajiri wake?.. Bob katuachia kina Ziggy na wenzake , huyo 2pac alitumia muda wake kutukana na kugombana na wanaume wenzake bila sababu za maana... hopeless kabisa yule...
Binti kafeli form 4 akiwa kwenye himaya yako, malezi mabovu yalianzia kwako... mwenza wako kaenda kumalizia tu kazi ya kumharibu mtoto.....
Halafu hii tabia ya kutusumbua kwa matatizo ya maamuzi yenu mabovu ikome!
... mnaokota machangu mnazaa zaa nao halafu mnakuja kutulilia huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.