upo mzozo nz kzmz hutaki kuamini rejea mauwaji ya kijana kubaka/mwananchi alieuwawa miaka ya 2009/2010 hapa kuna kulipiza kisasi.kwa nn wasirudi nyuma na kukumbuka tukio hilo?
Hapa kinachotakiwa ni kutafuta kiini cha mzozo uliopo kati ya wanafunzi wa chuo cha uhasibu na wananchi bila hivyo
watakuwa wanauwana kila kukicha.kwa mkuu wa wilaya kuna nn?ili iweje?
nakupa pole sana mpendwa wangu,wanawake wengi asilimia 95 hawafiki kwenye kilele.wanawake wamekuwa kama ni vyombo vya kustarehesha wanaume.wanaume wengi wakishamwaga wao hawatambui kuwa wanawake nao wanatakiwa wafike kilele.but nikushauri tu kuwa titahidi kuweka mawazo katika tendo la ndoa...
Duh,mm apa umenikuna sana,mm najitaidi sana nikiwa nadegedwa but cjampata wa kunioa adi nimejikatia tamaa,,Haya uloeleza ni ya kweli,na najitaidi kuyafata but cjampata mtu wa kutunzana nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.