Wana jf.naombeni mnisaidie jamani,natafuta kazi elimu yangu ni 4m4 na nina cheti cha clearing naombeni mnisaidie nipate kazi ya kufanya alafu niweze kujiendeleza asanteni
Pole broo wala usihofu utaishi sana maadam mungu anakujalia kuwa na moyo wa kujali wengine .kula vinzur zingatia hasa kutibu magonjwa nyemelezi mapema nadhani mungu atakusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.