Recent content by Tony Yeyo

  1. Tony Yeyo

    KERO Agha Khan Hospital Iringa huduma zenu ni mbovu sana

    Ninapenda kutoa malalamiko kuhusu huduma duni niliyoshuhudia katika Hospitali ya Aga Khan Iringa. Nilimpeleka mke wangu siku ya Jumamosi majira ya saa 10:30 jioni. Tulipofika, tulikuta dada wa mapokezi akiondoka bila kutoa maelezo yoyote kwa wagonjwa waliokuwa wakisubiri. Cha kushangaza...
  2. Tony Yeyo

    Anahitajika mtaalam wa kuchambua siasa za kimataifa

    Wakuu habar zenu Nahitaji mtalamu wa kuchambua siasa na habari za kimataifa ili tufanye kazi katika Chaneli ya youtube , malipo ni makubaliano Sharti awe mkoa wa mbeya
  3. Tony Yeyo

    Utapeli mpya wa kampuni ya FIC

    Vijana Kuweni kuna matapeli wamekuja na kampun Yao ya ku bet inaitwa FIC Vijana weng wametapeliwa Kwa Sasa tena kuna Mtu katapeliwa million 500 Toka jana hao Vijana wanalia
  4. Tony Yeyo

    DOKEZO Wodi za wazazi katika Hospitali Ya Wazazi Meta Mbeya kuna baridi kali

    Kama ukipata nafasi kutembelea wodi za wazazi pale Meta Mbeya utakuta kuna baridi kali katika wodi za wazazi. Lakin jambo la kushangaza ukienda kwenye vyumba vya manesi unakuta kuna heater za joto ambazo zinafanya mtu ujiskie vizuri Swali langu. Kwanini Uongozi wa Meta hospital wasiweke heater...
  5. Tony Yeyo

    Je, nifanyaje niweze kujiunga na NSSF APP?

    ili uweze tumia app ya nssf bila usumbufu Nenda ofisin kwao ukamuone mtu wa registration ili afanye Ku update taarifa zako Kweny mfumo wa nssf hapo ata update namba ya simu na email yako Kama huna ajira unaweza jiunga nssf kwa kupitia NSSF Hiyari
  6. Tony Yeyo

    FURSA HII APA

    We jamaa bana [emoji3]
  7. Tony Yeyo

    FURSA HII APA

    Awa jamaaa wanataka mtu awape story ya kusisimua kuhusu mikasa ya kimaisha Story izo zitatumika Kama content za YouTube Lakin pia watamlipa uyo mwenye story Sharti uwe mkoa wa mbeya
  8. Tony Yeyo

    Biashara ya kunenepesha mbuzi na ngo’mbe

    Asante sana mkuu Ubarikiwe
  9. Tony Yeyo

    Biashara ya kunenepesha mbuzi na ngo’mbe

    iyo ishu ata mm nimewai sikia
  10. Tony Yeyo

    Biashara ya kunenepesha mbuzi na ngo’mbe

    Habari zenu wadau. Naomba kupata elimu ya Biashara ya kunenepesha mbuzi ili nije kuuza kwa faida. Nipo mkoa wa Mbeya. Kama kuna mtu anafanya iyo biashara Naomba connection.
  11. Tony Yeyo

    Mandonga kala vitasa vya kichwa

    Pambano halikuwa na Mshindi lakin mandonga alipigwa ngumi za kutosha
  12. Tony Yeyo

    Akamata chatu kwa mikono

    Video yenye kuogopesha ikimuonesha jamaa toka Marekan akikamata CHATU kwa mikono Sio CHATU tu jamaa anakamata mpaka cobra MTALAMU WA KUKAMATA CHATU
Back
Top Bottom