Wakubwa heshima kwenu, naomba kusaidiwa muundo wa barua ya uhamisho.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nataka nahama kutoka Halmashauri moja kwenda nyingine
Binafsi sifahamu njia za kupitia ili nifanikiwe kwa haraka. Natanguliza shukrani za dhati kabisa
Habari wana JF
Nina umri wa miaka 30 nimeishia drs la Saba ila napata fursa nyingi sana lakini kutokana na elimu yangu ni ndogo Kuna baadhi ya fursa zinanipita naombeni msaada nawezaje kujiendeleza kielimu uku nikifanya shughuli zangu za kila siku.?
Ahsanteni.
Katika dunia ya leo ya habari (information age) fedha ni muhimu sana. Je, ni kwanini mfumo wetu wa elimu hautoi fursa kwa wanafunzi kujua mfumo na tabia ya fedha katika dunia na uchumi wa kibepari (capitalism) ili kuzalisha watu huru (wanaojiajiri) badala yake mfumo wa elimu unatengeneza watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.