Recent content by Tonny mussa

  1. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    Pung'o boy msaada nchekie hii man S3169/0037/2014
  2. T

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    Man nsaidie niangalizie hii namba S3169/0037/2014
  3. T

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    kwny tovut ya bod ya mkopo www.heslb.go.tz ko cha mcng nkuitembelea hyo kla cku kama kutakua na new post.pamoja na website ya UDOM www.udom.ac.tz 4 Joining instructions
  4. T

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    wakuu naomba mnisaidieni mimi nilikua nafanya hizi application za vyuo lakini nilipokua najaza baadhi ya details pale lakini kila nikijaza ile payment transaction ID ilikua inatemwa naambiwa imeshatumika wakati naamini na ninauhakika hii ID hamna aliyeiona n mimi mwenyewe na yule wa cafe ambae...
  5. T

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Samahani wadau ivi kwa wale waliochaguliwa ile program ya diploma pale UDOM nao walihitajika kufanya application za mkopo na nilazima wafanyie uku.Kwa sababu kuna watu wameshafanya au watafanya kule kule chuoni? Naomba msaada wenu
Back
Top Bottom