Recent content by tolerate jacob

  1. T

    Sakata la Dkt Mwaka, hapa serikali imekurupuka

    ujumbe mzuri na umeeleweka mwenyewe ckio na ackie
  2. T

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    iv tz kuna mahakama kweli!!!!!! km kweli zipo Mungu amsaidie maana mmmmh
  3. T

    Kigoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    matokeo yabandikwe vituoni, mara hayo matokeo co racmi ni uongo, asanteni tume ya uchaguzi tz
  4. T

    NEC: kampeni zinatakiwa kusitishwa saa 12 kabla ya siku ya uchaguzi.

    yuko na mshuwa wenye nchi yao kwa madai yao, bt not bad time will tell soon after dis moment
  5. T

    UKAWA wapata mapigo mawili ndani ya masaa 24 kabla ya uchaguzi

    time will tell dont beat around de bush
  6. T

    Mwigulu aiteka Tunduma, maelfu ya wananchi warudisha kadi na kujiunga CCM

    tz kubwa jamani ctaki kubisha, itakuwa tunduma ya chato bt co boda ya wajanja maisha hakuna kitu km hicho
  7. T

    Apson Mwang'onda aendelea kumtapeli Lowassa. Amhakikishia kuwa ameshinda Uchaguzi na Ikulu ni yake

    hakuna cha nani wala nn kumdanganya, hofu yako tu lbd coz time will tell dere z no need to beat around de bush
  8. T

    GE2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

    kuna watu mnajifanya mnajua siasa kumbe......... looooh!!!!!! toka lini chedema imeingia madarakani kuwa chama tawala na kushindwa kutekeleza msemayo??????? nini maana ya chama tawala na ahadi zake?????????? kwendeni huko tumechoka
  9. T

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    mlimani city watu hutoa kiingilio ili mradi tu wamwoneee diamond sembuse fiesta ya bila kiingilio?????? asanteeeee diamond magufuli oyeeee 10 ni october no fiesta no wat
  10. T

    Lowassa ni zaidi ya Rais, Vivuko vyote kutoa huduma bure

    haaaah kumbe ccm ni wapinzani wazuri hivyo!!!!!! i wonder y mnang'ang'ana kuwa chama tawala ili hali mnafaa kuwa wapinzani , bt not bad practise makes permanent tutaelewana tu after 25
  11. T

    Aidha Magufuli au Lowassa, mabadiliko katika uhalisia

    hata wewe waweza kufa kbl hujampigia kura huyo unaedhan ana afya kila mja ataonja mauti, hakuna ajuye ck wala saa,
  12. T

    Mdahalo wa wagombea urais ufanyike kwa English

    uhuuuuuu kiswaz tu shidaaaaaaaaa, kidhungu sasa!!! ¡
  13. T

    Lowassa sauti yake haikusikika

    asante tabibu kwa ugonjwa wa lowassa ole wako ujidhaniye umesimama!!!!!!
Back
Top Bottom