kuna watu mnajifanya mnajua siasa kumbe......... looooh!!!!!! toka lini chedema imeingia madarakani kuwa chama tawala na kushindwa kutekeleza msemayo??????? nini maana ya chama tawala na ahadi zake?????????? kwendeni huko tumechoka
mlimani city watu hutoa kiingilio ili mradi tu wamwoneee diamond sembuse fiesta ya bila kiingilio?????? asanteeeee diamond magufuli oyeeee 10 ni october no fiesta no wat
haaaah kumbe ccm ni wapinzani wazuri hivyo!!!!!! i wonder y mnang'ang'ana kuwa chama tawala ili hali mnafaa kuwa wapinzani , bt not bad practise makes permanent tutaelewana tu after 25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.