Mshana, kwani sela ya afya iko vipi kwa mama mjamzito Tanzania. Tusiweke mambo ya huruma kwenye sela. Kama umeshawahi kwenda hospital na mama mjamzito,utakubaliana na alichosema chalamila. Tatizo letu sisi ni ,mtu akitusanua kwa kusema ukweli, tunachonga ili bi mkubwa amtimue. Rejea kauli ya...
Hii kisheria imekaaje!? Hawezi kishitakiwa na familia au serikali maana hizi ni Tuhuma nzito sanaa na kashifa kwa serikali. Vinginevyo labda kama kuna ushahidi wa kutosha.
Hapo ni tungo tata.
1) tangu aajiriwe hajawahi kuchukua kwenye account mishahara yake yote
2)Amechukua hela lakn watu wengine ndio wanatumia.
Hapa nauliza swali lipi ni kosa hapo?
Nina plan ya kulima mazao ya biashara alizeti au kahawa.
Nimeshauriwa kwenda ngara. Wanasema Kuna Hali nzuri ya hewa inayo supoti mazao tajwa hapo juu.
Niliwahi kufika ngara Mara 1 na nikakaa siku 2 ngara mjin. Sijui chochote kuhusu upatikanaji wa mshamba kwa ajiri ya kilimo.
Naomba msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.