Recent content by Toglaw

  1. T

    Kwa aliemaliza form six 2010 anaweza kupata mkopo kutoka Heslb?

    Inawezekana sana cha msingi uwe na vigezo vyote mfano, course uliyoomba iwe priority, shule ulizosoma O'level na A'level ziwe za serikari n.k
  2. T

    Scholarship za sultanet of Oman

    Habari zenu wakuu! Mwenye taarifa yeyote kuhusu scholarship za Oman tulizoomba mwez wa nane tupeane taarifa maana naona wizara wapo kimya tu.
  3. T

    Kwa mulioomba Scholarship za Sultanet of Oman

    Habari wanajamii, Naomba kama kuna mtu yeyote ana taarifa kuhusu kutoka kwa majib ya scholarship za sultanet of oman tulioaply toka tareh 11 mwezi wa 8 kupitia wizara ya elimu.
  4. T

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Hivi bodi ya mkopo wataongeza mda wa kuomba kwa sis tuliochelewa
  5. T

    Vacancy: Freelancer sales

    Sawa mkuu ila umeedit! mwanzo uliweka subject tu hukuweka maelezo
  6. T

    Vacancy: Freelancer sales

    Uliyetoa tangazo huna hakiri! Freelancer sales ndo nin? Imefanya nini? Au hata hujui maana ya vacancy. siku nyingine jieleze kama wewe ni nan,? Freelancer,Teamleader au cordinator, unafanya kazi mtandao gan? Sehemu gan? Mshahara ni sh. Ngap? na eleza shida yako unataka watu wenye sifa gan? Na...
  7. T

    Nafasi za kazi zantel

    Kwa ambao mmeshapga simu tukutane jumanne ofisin kwa ajiri ya usaili. Malipo yanatokana na commission yako. Kwa maelezo zaidi piga simu hzo namba hapo juu
  8. T

    Nafasi za kazi zantel

    Kampuni ya simu za mkononi zantel inatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo Eneo 《Dar es salaam Sifa 《.Elimu kidato cha nne(iv) .Umri miaka 18-25 .Uwe na uwezo wa kujieleza Wajibu 《kuwafundisha wateja huduma za...
Back
Top Bottom