Recent content by TOG

  1. T

    DAWASA; Idara ya fedha iboreshwe (department of finance), kwakua inanyanyasa na kudhulumu Watumishi wa DSWASA katika malipo na stahiki zao

    Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. HII NI BARUA YA WAZI KWA DAWASA na KWA MAMLAKA HUSIKA. IDARA YA FEDHA/Ofisi ya Finance (DEPARTMENT OF FINANCE) YA DAWASA Inayoongozwa na Mkurugenzi mhe. Sais Kyejo, ni Idara ambayo Inanyanyasa sana Watumishi wa Dawasa, Na kuwadhulumu...
  2. T

    DAWASA inatesa na kuwanyanyasa vibarua na wafanyakazi wa mikataba

    Nasalimu kwa jina la Jamhuli ya muungano wa Tanzania. Tungependa kutoa dukuduku letu, na malalamiko yetu ambayo yanatokana Manyanyaso na Mateso ambayo yanafanywa na taasisi ya DAWASA (Shirika la Serikali inayo huduma ya Majisafi Dar es Salaam na Pwani). 1. Dawasa inakawaida ya Kutumia Vibarua...
  3. T

    DOKEZO DAWASA inatesa Wafanyakazi wa mikataba, haifuati sheria wala taratibu za Utumishi katika stahiki zao

    Habari za mda huu, Tunapenda kutoa Malalamiko yetu sisi wafanyakazi na viongozi wa wafanyakazi, (sababu hatuna sehemu ya kwenda kusemea, kwani kila sehemu DAWASA imeweka mkono wake na kuzuia sauti zetu). DAWASA, shirika la Maji Dar es Salaam na Pwani. Ni shirika lililo chini ya Serikali...
Back
Top Bottom