Recent content by Toby wa magu

  1. T

    Wanaoitaji kutengeza pesa tafadhali pitia hapa

    Sioni ubaya kuwashirikisha wenzangu twendeni pamoja kwa mwenye imani we can generate somethng na kufikia nilipofkia mimi tafazari tembelea hapa jamiiforums.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people Chek it out you earn something
  2. T

    Nani rais mzigo kati ya awamu zote 5 tangu uhuru?

    Mtoa mada hupo kimsogalism zaid
  3. T

    Nani rais mzigo kati ya awamu zote 5 tangu uhuru?

    Wewe rweye ndo rweyemamu au? Kama ndo wew basi ngoja nikuache mana nakujua wew bdo dozi ya milembe hujamaliza
  4. T

    Nani rais mzigo kati ya awamu zote 5 tangu uhuru?

    Mtoa mada ni mzigo pia.. Hyo hawamu ya nnr ni ya bwanaako? Kapunguza mfumko wa bei? Tatzo uliandika wakati unapigwa cha asubui asubui ndo mana
  5. T

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Kaka bright itakuws hakuna watu wenye busara wa kupewa u DC mana coz hata ukiangalia uwaziri bdo unaona hakuna wenye busara wa kufit kujaza baraza ccm wote akilini wengi akilini mwao darasa la pili
  6. T

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Cheo chwnyew ni kwa hisani ya msoga baada ya kuwa kijakazi wa mwana mfalme mfunga kamba za viatu leo analeta kokoro zake hapa.. Nataka nimeone na magufuli kama ataendelea utumbo huu
  7. T

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    Hakukuwa na haja ya mashtukizo bhana ilibdo hapewe barua ya wito wizarani kama kuna kosa ajieleze sasa wanafanya hambushi kwani yeye ni jambaziii?? Hahahahhaaaa serikali ya kuviziana na wananchi sijawai iona mimi hayo mafuta waliochoma wangeokoa kwa kutype summon letter tu na angeenda ni kheri...
  8. T

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Huyo makonda ana matatzo yake tena makubwa sana afai kabisa tena asipoangalia atawagawa wananchi anawazalilisha ma DC wenzake.. Afai afai afai atoke atoke atoke.. Kama unasikia ndo nakwambia ufai kuwa DC bdo akili zako za kisharobaro na kujionyesha
  9. T

    Mbunge na Madiwani wa CHADEMA wamtoa baruti Mkuu wa Wilaya

    Sioni tija ya hao ma dc bhana bora wafutiliwe mbali
  10. T

    Prof. Muhongo: Serikali kununua umeme wa bei nafuu Ethiopia

    Muhongo wa ovyo wizara ya ovyo na serikali yake pia.. Gesi mshauza imeisha yoteeee? Kwahyo sa hv umeme tununue ethiopia? Kwel acha tuchekwe kwa mpango huu
  11. T

    Baada ya matokeo na CCM kuangukia pua mwanachama wa CCM afariki dunia

    Afie mbali na kwa mungu hana haki huyooo
  12. T

    Nini hasa kinamsibu Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye?

    Tatzo ni yeye kuja chadema? Acha useng na uzi wako huo.. Unataka olewa nae? Sema upewe mimba kama babu yako wa juz yule aliekuwa mgumba
  13. T

    Rais MAGUFULI aagiza mabewa yote mapya yaliyonunuliwa hivi karibuni yarudi DSM.

    Acha gongo HARUFU vp yale mabehewa feki yameishia wap?? Afu mnaleta sera za mabehewa mapya... Unaakili wewe? Punguza piwa kenge buruu
  14. T

    Rais MAGUFULI aagiza mabewa yote mapya yaliyonunuliwa hivi karibuni yarudi DSM.

    Tusibabaishwe na porojo vp yale mabehewa feki ya mwakyembe??
Back
Top Bottom