Sioni ubaya kuwashirikisha wenzangu twendeni pamoja kwa mwenye imani we can generate somethng na kufikia nilipofkia mimi tafazari tembelea hapa
jamiiforums.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people
Chek it out you earn something
Kaka bright itakuws hakuna watu wenye busara wa kupewa u DC mana coz hata ukiangalia uwaziri bdo unaona hakuna wenye busara wa kufit kujaza baraza ccm wote akilini wengi akilini mwao darasa la pili
Cheo chwnyew ni kwa hisani ya msoga baada ya kuwa kijakazi wa mwana mfalme mfunga kamba za viatu leo analeta kokoro zake hapa.. Nataka nimeone na magufuli kama ataendelea utumbo huu
Hakukuwa na haja ya mashtukizo bhana ilibdo hapewe barua ya wito wizarani kama kuna kosa ajieleze sasa wanafanya hambushi kwani yeye ni jambaziii?? Hahahahhaaaa serikali ya kuviziana na wananchi sijawai iona mimi hayo mafuta waliochoma wangeokoa kwa kutype summon letter tu na angeenda ni kheri...
Huyo makonda ana matatzo yake tena makubwa sana afai kabisa tena asipoangalia atawagawa wananchi anawazalilisha ma DC wenzake.. Afai afai afai atoke atoke atoke.. Kama unasikia ndo nakwambia ufai kuwa DC bdo akili zako za kisharobaro na kujionyesha
Muhongo wa ovyo wizara ya ovyo na serikali yake pia.. Gesi mshauza imeisha yoteeee? Kwahyo sa hv umeme tununue ethiopia? Kwel acha tuchekwe kwa mpango huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.