Kama Kingai na Urio wametoka kapa kiasi hicho,huko mbele ni aibu isiyopimika.Sijuwi mtaficha wapi nyuso zenu upande wa utetezi wakianza kutoa ushahidi wao.
Unadhani watu wote ndani ya malamka wakiwemo hao makomandoo wala roho ya kishenzi?.Au unadhani aliyemwambia Tundu Lisu akimbiliea ubalozini ni raia wa kawaida?.Nchi imeharibiwa sana.Mwenyezi Mungu atusaidie.
Mkuu bahati nzuri unafahamu kuwa ni kesi ya Kimkakati.Maana yake sheria siyo kipaumbele kwao.Jana imedhibitisha hivyo.Kwa hiyo, ushauri au maoni yako yasingesaidia chochote kwa kuwa wenye nia OVU tayari wanamaamuzi yao.
Lakini imeandikwa,mshahara wa dhambi NI MAUTI,walipaswa wawe wamejifunza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.