Recent content by Tlmau

  1. Tlmau

    Naomba kufahamishwa bei za samaki Mwanza

    Kumbe hauna akili baba
  2. Tlmau

    Naomba kufahamishwa bei za samaki Mwanza

    Samahani wakuu nani anafaham viwanda vya samaki mwanza huwa mara nyingi vinanunua samaki kilo kwa bei gani? Ukitokea mtu una labda tani tano za sato au sangara
  3. Tlmau

    Swali dogo lakini kubwa sana

    Kuwa mkweli hivi uli survive vipi kile kipindi unemaliza chuo,umekaa nyumbani Kama miaka miwili hivi haujapata ishu ya maana, na hata vitu vyako vidogo ulivokua unafanya vilifeli. Ulifanyanye ilipofika kile kipindi hata wale wanao wa karibu walianza kukukataa kuona kwamba utakua mzigo...
  4. Tlmau

    Wazazi wenye watoto waliohitimu vyuo tusemezane kidogo

    Ni kweli but elimu ya 17yrs +second class gpa at varsity havijawahi kunipa pesa 😄
  5. Tlmau

    Wazazi wenye watoto waliohitimu vyuo tusemezane kidogo

    Nimeibeza elimu lakini positively
  6. Tlmau

    Wazazi wenye watoto waliohitimu vyuo tusemezane kidogo

    Habari, natumaini uko salama na Leo nataka niongee na wazazi ambao Wana watoto ambao wamemaliza chuo na wako nyumbani bado hawajapata kitu maalumu cha kuwaingizia kipato. Uzi unaanza..wazazi wengi ambao wana watoto waliomaliza chuo sasa hivi wengi wao ni wazazi ambao walikua wanaamini sana...
  7. Tlmau

    Viwango vya riba (Interest rate) thread

    Nitaandaa thread nzuri kuhusu makato pia stay tune
  8. Tlmau

    Viwango vya riba (Interest rate) thread

    Kwenye ishu ya fixed acc..bank huwa zina tofautiana kwenye return ya investment ya namna hiyo(japo hazitofautiani sana) ..hii mara nyingi kwa sababu ni mkataba manake hata return yako itakua fixed in terms of % ambazo mmekubaliana (though Kuna banks zina condition nzuri zaidi) mf crdb ukiwa na...
  9. Tlmau

    Viwango vya riba (Interest rate) thread

    Habari,naitwa Titus Devis.. karibu sana tuongee kuhusu viwango vya riba au interest rate kwa lugha ya kigeni Kwanza kabisa tuanze na viwango vya riba ni nini (what is interest rate) -Viwango vya riba ni kiasi cha pesa ambacho kinaongezeka kwenye pesa ambayo mkopaji amekopa baada ya muda...
  10. Tlmau

    UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

    Hello guys sorry hv ni institutions zipi Tanzania zinaweza kutoa mkopo ukiwa na business proposal nzuri
Back
Top Bottom