Recent content by Tlaatlaah

  1. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    gentleman, yaani na porojo hua ina majibu? :pedroP:
  2. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    siwezi kupoteza muda au kubabaika na porojo na uzushio nonsense kama huo gentleman
  3. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    hakuna porojo nonsense kama hiyo nchini gentleman
  4. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    kumbe porojo na uzushi vinaweza kuumiza gentleman? unaumia kwabisa kwa uongo gentleman?
  5. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    najaribu kufikiria watoto watu wazima wa huyo mbibi wanajiskiaje mzazi wao akitumika kueleza porojo za kizushi mitandaoni. dah!
  6. Tlaatlaah

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    athari za uraibu wa ccm zimekuzonga sana ndugu mdau, right? pole sana aise. hivi bado uko kwenye ule umri wa kudhani kuna watu wanakufuatilia au wanafuatilia maisha yako? :pedroP: dhana potofu na ya kijinga sana hiyo ya kuishi kwa maigizo kwa kudhani vitu ambavyo havipo.
  7. Tlaatlaah

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    ninyi nyote ni vijana mliokomaa vizuri sana, hakuna kigeni wala cha kutisha miongoni mwenu, kwa heshima ni vizuri kuskilizana, kukubalia na hatimae kusaidiana ikiwa inafaa kwa wakati muafaka. ni fedheha kupotezeana muda na kupigana kalenda au danandana kwa umri huo. elezaneni ukweli ikiwa ina...
  8. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    uumizwe na nani gentleman? na huyo mbibi mzazi wa wenyewe au? huenda anawafedhehesha wanawe kwa kutumika vibaya mitandaoni
  9. Tlaatlaah

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    uko down sana ndugu mdau, zingatia usafi bana ni muhimu sana. epuka kua kero ya harufu mbaya kwa wengine.
  10. Tlaatlaah

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    huyo mmngwana ndio pekee alikua injini ya chadema, akisema nanasimamia maneno yake kwa matendo kama alivyosema, hakuogopa kusema jambo lenye maana hata kama linamkera kwa heshima na wala hakua mropokaji kama wengine
  11. Tlaatlaah

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    ni muhimu kua msfi daima ndugu mdau ili kuepuka kua kero kwa wengine
  12. Tlaatlaah

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    zingatia ujumbe maalumu wa upendo kwenye hoja mahususi mezani na itakusaidia zaidi ndugu mdau.
  13. Tlaatlaah

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu. ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio...
  14. Tlaatlaah

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Ndugu mdau, huu ni ujumbe maalumu wa upendo kwa pisi kali zote zilizopo sasa, na hata zile ambazo hazijazaliwa bado. ni ujumbe wa kuimarisha mahusiano na ndoa na ni muhimu sana kukumbushana ili hatimae kuinjoy mapenzi bila kero
Back
Top Bottom