athari za uraibu wa ccm zimekuzonga sana ndugu mdau, right? pole sana aise.
hivi bado uko kwenye ule umri wa kudhani kuna watu wanakufuatilia au wanafuatilia maisha yako? :pedroP:
dhana potofu na ya kijinga sana hiyo ya kuishi kwa maigizo kwa kudhani vitu ambavyo havipo.
ninyi nyote ni vijana mliokomaa vizuri sana,
hakuna kigeni wala cha kutisha miongoni mwenu,
kwa heshima ni vizuri kuskilizana, kukubalia na hatimae kusaidiana ikiwa inafaa kwa wakati muafaka.
ni fedheha kupotezeana muda na kupigana kalenda au danandana kwa umri huo.
elezaneni ukweli ikiwa ina...
huyo mmngwana ndio pekee alikua injini ya chadema,
akisema nanasimamia maneno yake kwa matendo kama alivyosema,
hakuogopa kusema jambo lenye maana hata kama linamkera kwa heshima na wala hakua mropokaji kama wengine
unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu.
ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio...
Ndugu mdau,
huu ni ujumbe maalumu wa upendo kwa pisi kali zote zilizopo sasa, na hata zile ambazo hazijazaliwa bado.
ni ujumbe wa kuimarisha mahusiano na ndoa na ni muhimu sana kukumbushana ili hatimae kuinjoy mapenzi bila kero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.