hayo ni maoni yake binafsi kitu ambacho ni haki na uhuru wake wa maoni,
but katiba ya Tanzania itatekelezwa kama ilivyo mpaka pale wananchi watakapoamua kuibadili kwa wakati wao muafaka 🐒
hakuna haja ya kuweweseke mh.Ado Shaibu,
suala la katiba mpya lipo kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM kama vilivyo vipaumbele vingine muhimu vya wananchi. Na kwa wakati muafaka, kila kimoja litatekelezwa kadiri ya mahitaji ya wananchi na ratiba ya ilani hiyo ya CCM.
hakuna haja ya kubabaika wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.