Recent content by Tlaatlaah

  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    hiyo porojo ni useless gentleman, hakuna haja ya kutafuta kiki kwenye msiba wa wenyewe 🐒
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Wangelia je..?

    Kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida gentleman. Ni muhimu sana waTanzania wote kufurahia na kusherehekea mchango na maisha ya hayati Hafidhi Ameir hapa duniani, kama ambavyo daima tunafurahia na kumshukuru Mungu kwa kuomba misa na ibada za shukrani kwa Mungu kwaajili ya zawadi za...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    mizigo na abiria wa kusafirishwa kwa njia ya reli wapo wakutosha kuongeza pato la taifa na kusisimua uchumi wa taifa. serikali sikivu ya CCM hashinikizwi na yeyote kutumia rasilimali zake gentleman 🐒
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida gentleman 🐒
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mkimbize Mzee Warioba London achekiwe, thoroughly checkup ya afya yake. Achana na hospital za hapa watamfuata huko wahuni

    Mzee ana changamoto ya afya muda mrefu tu gentleman. In fact ametibiwa vizuri tu, ila amekosa kabisa muda wa kutosha kupumzika. Anahangaishwa mno na wanaharakati uchwara pamoja na wanasiasa vibaka. Nae kwa vile anapenda tension, anajikakamua ili kuwafurahisha wanaharakati hao, lakini ndio hivyo...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Yes, kuishi ni Kristo na kufa ni faida 🐒
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    kuna chama fulani cha siasa kina wanachama makamanda watupu gentleman na wanararuanaga wenyewe kwa wenyewe katika kila uchaguzi wa chama chao ukifika 🐒
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Serikali haiwezi kukosa mapato hatakama unakwepa kulipa kodi gentleman. Na usafirishaji wa mizigo kutumia reli hauna madhara yoyote ispokua faida tu. Na hakuna haja ya mihemko kwenye ukweli huu ya kwamba, usafirishaji wa mizigo na abiria kutumia reli, unachochea ukuaji wa uchumi wa taifa letu 🐒
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    ok.🐒
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kumlazimisha Jaji Warioba kuzungumza Masuala ya nchi hasa kwa Kipindi hiki cha Utawala ni kutomtakia tu mema mbele za Maadui Familia imzuie tafadhali

    In fact, afya yake imezorota sana, nadhani anahitaji medical attention, utulivu na mapumziko ya kutosha, kuliko kuendekeza kutafuta sifa zinazomfedhehesha mwenyewe jukwaani. Itoshe kushauri tu kwamba Mzee Warioba anastahili kupumzika zaidi ya kutumiwa na kuwafurahisha wanaharakati hali ya kua...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Watanzania, tumwombee sana Mzee Warioba. Ndo Mzee pekee ambaye amebaki kwa Maslahi ya Umma.

    In fact ni Mzee sana, na amechoka mno. Nafahamu alikua akiugua hivi majuzi, na nadhani hakua amepona vizuri. Nadhani anastahili medical attention, utulivu na mapumziko ya kutosha ili hatimae afya yake iliyozorota sana iweze kuimarika vizuri. Nashauri wanaharakati na wanasiasa waache...
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Nimepewa unabii: Kutakuwa na vifo vya wanafamilia wa Utawala huu

    ok.🐒
Back
Top Bottom