Recent content by Tlaatlaah

  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Leo asubuhi wazee niliokuwa nawaheshimu sana hapa Kijijini wamefanya jambo la hovyo sana; wameshindana kutangaza msiba. 🤔

    kumbaf sana aise gentleman, mimi sio mzee plz! pole kwa msiba wa wa hisia lakini , alaa 🐒
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    vigezo na masharti kuzingatiwa 🐒
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hili daftari ya wakazi huko ulipo lipo au ni kwetu tu

    jiandindikishe bila shuruti gentleman, ni kwa faida ya usalama wako mwenyewe 🐒
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Je Amini Mahamba, Shahidi wa serikali anayehojiwa na Lissu Mahakamani ni Yeye kweli au Kafoji nyaraka za Utambulisho?

    kupotoshana wenyewe kwa wenyewe ni kazi ya kizembezembe sana aise 🤣
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Chadema kitengo cha mawasiliano ya umma kinapwaya sana

    tungu lini wana kitengo kama hicho wakati kwao kila mtu ni msemaji?🐒
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mwenye update ya kesi ya Lisu atuwekee hapa. Naona Hilda "amekabwa koo"

    kwahiyo chicho kibano kiko sehemu gani kwa mfano gentleman?🤣
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mwenye update ya kesi ya Lisu atuwekee hapa. Naona Hilda "amekabwa koo"

    ok.🐒
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Mwenye update ya kesi ya Lisu atuwekee hapa. Naona Hilda "amekabwa koo"

    hapo eti ndio wakili msomi anamuuliza shahidi maswali magumu :pedroP:
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Heche: Tunataka katiba na si maneno ya kwenye Ilani

    My friends, ladies and gentlemen, Ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030 itatekelezwa kwa wakati muafaka, kulingana na serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan itakavyoona inafaa. CCM haiwezi kubabaika na porojo za wanasiasa hasa waliopoteza uelekeo 🐒
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Most probable issues raised by TEC with the president, and if not, then TEC?

    nonsense 🐒
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Heche: Kosa ambalo tumewahi kulifanya CHADEMA ni kuwaamini watu wasioaminika

    Amini Mungu pekee gentleman 🐒
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Heche: Kosa ambalo tumewahi kulifanya CHADEMA ni kuwaamini watu wasioaminika

    ni vizuri kumuamini Mwenyezi Mungu pekee ndugu zangu. kuamini watu ni ushirikina 🐒
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ndiye turufu pekee ya umoja, amani, usalama na ustawi wa demokrasia ya Tanzania

    namaanisha baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili mwaka 2030, Dr Emanuel John Nchimbi atapokea kijiti cha urais hadi 2040.🐒
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ndiye turufu pekee ya umoja, amani, usalama na ustawi wa demokrasia ya Tanzania

    Tanzania ni nchi huru yenye amani ya kipekee sana. Hivi sasa mlinzi wa uhakika wa amani, umoja na usalama wa waTanzania wote ni Rais Dr.Samia Suluhu Hassan. Nadhani, 2030-2040 , anaestahili kupokea kijiti cha ulinzi wa amani, umoja na usalama wa waTanzania ni Dr Emmanuel John Nchimbi 🐒
Back
Top Bottom