Nini kinasababisha kukwamia kwenye bao1 tu, kwa wenye umri wa kuanzia 35 years na kuendelea?
Na kama unaweza kufakamia bia6 bila breki katika umri huo, kulikoni ushindwe kuunganisha goli2 kwa1 kwenye 6kwa6?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
well done gentleman for the heavy concept within your very theoretical and technical article of the day, political speaking 👊
Unaelewa ujerumani ilishindwa vibaya sana vita vya pili vya dunia kwasababu ilitumia hasira na chuki dhidi ya maadui zake, badala ya kutumia maarifa?
nadhani hao...
well done serikali sikivu ya CCM,
kuweka vituo vya polisi maeneo hatarishi kwa usalama wa magari na wapita njia kwa ujumla.
I hope gentleman ,
ni mwenyeji wa pande hizo kwenye vindege vya kuaanga 🤣
Gentleman,
ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2026 ni moto wa kuotea mbali kwenye michezo hasa mpira wa miguu. kwa asilimia 85% kombe la AFCON linaweza kubaki Tz
acheni ramli useless plz 🐒
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.