My friends, ladies and gentlemen,
Ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030 itatekelezwa kwa wakati muafaka, kulingana na serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan itakavyoona inafaa.
CCM haiwezi kubabaika na porojo za wanasiasa hasa waliopoteza uelekeo 🐒
Tanzania ni nchi huru yenye amani ya kipekee sana. Hivi sasa mlinzi wa uhakika wa amani, umoja na usalama wa waTanzania wote ni Rais Dr.Samia Suluhu Hassan.
Nadhani,
2030-2040 , anaestahili kupokea kijiti cha ulinzi wa amani, umoja na usalama wa waTanzania ni Dr Emmanuel John Nchimbi 🐒
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.