Wakuu nimepoteza vitambulisho vyote vilikuwa kwenye wallet..na nahisi soon naeza kuwa shortlisted sasa bila kitambulisho nawaza kama barua ya serikali za mitaa wanaweza kukubali mwenye experience tafadhal..,
Aiseeeeeeh Kuna watu nmewaona kwenye mkeka kipindi mi nipo first year wao wapo forth year TE&CE Leo wameulamba aiseeeh tusikate tamaa hapo naongelea 2016 mtu kaja kulamba asali 2024 tusikate tamaa tupambane wakuu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Ni kweli mshua mi Kuna kiwanda kinajengwa mitaa ya veyula ndani ndani kutoka stend Kama kilometer 2 au 3 ivi nimesotea wiki 2 bila bila mzee ni headache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.