Marekani kwenye teknolojia bado yupo juu startup zake zipo nyingi ambazo zinaoffer services nyingi sana world wide na zinamuingizia ela nyingi sana hizo maglev China anauza wapi? Japo siku za mbeleni zitamlipa tu sio hizo trains tu mpaka kwenye ship buildings na auto industry China anafanya...
Wapo Salama sababu hatuna magaidi ndani ya mipaka yetu Ila ukifuatilia vizuri kwa miaka ya hivi karibuni Tanzania imekua imechangia idadi kubwa ya magaidi kwenye nchi za wenzetu kuanzia msumbiji, somalia huko kenya etc Kwahiyo ni swala la muda tu kabla hawajaamua kurudi nyumbani kaman...
Kitu ambacho mi sielewi inawezekana vipi jeshi la DRC, South Africa na TPDF combined tunashindwa kuwadefeat hawa m23 mtu anieleweshe vizuri mana jeshi letu limekaa zaidi ya nusu mwaka huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.