Recent content by Tito Magoti

  1. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

    Huu ni unafiki wa kiwango gani?
  2. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Olengurumwa, nani kakwambia Rais Samia Suluhu atagombea Urais mwaka 2025?

    Ole kuna kitu ama kimemlevya ama kimempalia. Ule ujasiri wa kukosea na kuvunga hadi sasa sio wa kawaida.
  3. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Hongera sana kwa makala nzuri, komredi Emekhe Ikhe alias Alphonce Lusako Mwamwile. Andiko bora, nakutakia ushindi mwisho wa sindano hili.
  4. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Papa Msoffe na wenzake wafutiwa mashtaka na DPP

    “Watu wanasema?”
  5. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma: DPP ni chujio la kwanza la haki

    Meanwhile National Prosecution agency is the most politicized and corrupt institution in our criminal justice system. CJ’s remarks are as good as crocodile tears. He knows the discourse very well, can’t stand a chance to unfold status quo! Maneno. Maneno. Maneno.
  6. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Kuna uwezezekano kwamba hata wakoloni wasingeendelea kututendea hivi. Ninaamini.
  7. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Umesema vema sana mkuu. We need reforms
  8. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Ndugu yangu. You don't have to be bitter on this. Mdude ni mshirika wangu. Ni ndugu yangu. Kwa taafifa: hakuna mamlaka yoyote iliyomtamka komredi Mdude kuwa mhalifu hadi nukta hii. Na hata akitamkwa kuwa mhalifu, haimuondolei ubinadamu wake. Na siwezi kumkana kwaajili hiyo. Ukimnyooshea kidole...
  9. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Asante, na pole kwetu sote, ndugu yangu! Kuna mambo yakizungumzwa kama yalivyo tutakataana na kutafutana. Lakini itoshe kusema kwamba Taifa hili ni letu sote, tushiriki kulifanya kuwa sehemu salama kwa kila mmoja wetu. Hatuna sababu ya kuacha kuishi kwa furaha wakati tukijua shida iko wapi...
  10. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Nakubaliana na wewe MO. Tujumuishe nguvu zetu kuna kitu tunaweza kufanya kwaajili yetu na Taifa letu.
  11. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Stuxnet: Asante kwa maoni na ushauri wako.
  12. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Nitafanya hivyo, asante mkuu.
  13. Tito Magoti

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu hali ya haki jinai nchini

    Utamaduni wa kutokusoma unatutafuna. Hatufuatilii masuala hadi tuyasikie upande wa pili. Ni muhimu sana kufahamu nani anafanya nini, katika nini, kwa mfumo upi, wapi na kwa nini!
Back
Top Bottom