Recent content by TITAN

  1. TITAN

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Bona Kalua wa Ukonga amepita kibaati kama alivyopita Magufuli.
  2. TITAN

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Ukweli ni kwamba sisi kama wananchi na sisi ndiyo tunawalipa mishaaara kutokana na kodi zetu tuna aki ya kuuliza na kujuwa Mkuu wetu yuko wapi tena ikizingatiwa ni kipindi cha uchaguzi. Wausika tunaomba kujua ukweli araka kabla ya Oct 25. Kwani kuna ubaya gani akijitokeza ata kukagua mradi wa...
  3. TITAN

    Lengo kuu la Lowassa ni nn kutaka uongozi wa nchi hii? Je ni kweli kutaka kuondoa umaskini?

    Lengolake ni kuondoa mfumo mbovu wa kisultani uliochini ya CCM for more than 50yrs. Yes kama Mtanzania anaona amenyimwa akiyake ya kimsingi, ngoja ajaribu kwengine.
  4. TITAN

    Wakuiokoa CCM ni Agustino Ramathani

    Mkuu mimi ni Mtanzania kama wengine, nina aki ya kutoa maoni na mtazamowangu japokuwa unaweza kutofautiana na wewe
  5. TITAN

    Wakuiokoa CCM ni Agustino Ramathani

    Sasa shuguli imeanza
  6. TITAN

    Wakuiokoa CCM ni Agustino Ramathani

    Wakuu utabiri umekamilika.
  7. TITAN

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    Wakuu utabiriwangu umetimia, sasa uyu ndiye Rais. Nimeamini CCM awamtaki Lowassa kabisa, huu ni msiba kwa team lowassa, uyu Mzee amelazimishwa sana baada ya kukataa for more than 5 times, finaly amekubali shingo upande.
  8. TITAN

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Wakuu viongozi wa kisiasa ndiyo wausika wakuu, wanakwenda kwa waganga wanatumwa viungo vya albino ili waweze kufanikiwa mambo yao, ndiyomana akuna wa kukemea au kufatilia ili swala. Inabidi sisi wananchi tuweze kuungana ili kuliangalia jambo ili kwa ukaribu. Kunajamaa alisema alipewa deal na...
  9. TITAN

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya, wengine waenguliwa kutoka kwenye nafasi zao

    Mkuu Le Mutuz mpango wako wa ndoa umefika wapi?
  10. TITAN

    Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

    Inaonyesha unamjuwa sana uyu jamaa, au wewe ndiye mkewake. Umejuwaje ndoa imemshinda au chuki binafsi!! aujazuiwa kugombea kama unaona unauwezo na wewe uko uhuru kutangaza nia, usijaribu kumsema mtu kwa ushabiki au chuki binafsi.
  11. TITAN

    Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

    Mkuu inaoneka kunakitucha ziada unatafuta au unakijua, kwani wewe ulitaka aonekane marangapi? au unapimaje weledi wa Kiongozi bora.
  12. TITAN

    Jerry Muro kugombea ubunge uchaguzi mkuu

    Nauakika uyo Kijana anaweza kufanaya mambo mazuri akiwa mjengoni. Kila binadamu anamapunfu yake, akuna aliye 100% perfect. kama anataka kutangaza nia ni sawa akuna mtu mwenye ati miliki ya Uongozi. Go Jerry.
  13. TITAN

    Wakuiokoa CCM ni Agustino Ramathani

    Mimi Titan nimeangalia kwa kina jinsi CCM wanavyo zidiwa nguvu na ukawa nikaona karata yamwisho waliobakiza ni Mzee Agustino Ramathani aweze kugombea urais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Zaidi ya apo CCM wataangukia pua october 2015
  14. TITAN

    Rais Kikwete aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri mwaka huu

    Hicho kiti ni Shen, alikataa kabisa kuudhuria vikao vya mawaziri couse anasema yeye si Waziri.
Back
Top Bottom