Mleta mada ameuliza nani yupo sahihi kutokana na maelezo yaliyotolewa na hawa wasanii wawili na mimi nimejibu baada ya kusoma maelezo yao, labda jibu langu lingekuwa tofauti kama Mrisho Mpoto angesema mwenyewe kuwa hakutoa wasanii, badala yake amemjibu kwakutolea mifano ya baadhi ya wanaharakati...
Afande Sele yupo sahihi kwasababu hoja kubwa hapo ni kuwatoa baadhi ya wasanii wa Tanzania na kumuweka msanii wa Congo Bella, unawatoaje wasanii wenzio kwasababu ya msanii mwingine ambaye hata si raia na kuita ni uzalendo hii si sawa.
Labda nisaidie kuemwaelezea wale wanaosema hizi tuzo za kununua au si za maana kwasababu hakushindanishwa na baadhi ya wasanii wengine wa Afrika, ukirejea ile barua iliyowahi kutolewa na uongozi wake ilionesha katika kipengele alichokuwa Diamond kulikuwa na wasanii wengine wengi tu na mchujo...
Haya Sugu amezungumzia hilo swala bungeni tena baada ya kumsikikiza mimi binafsi nimemuelewa, licha ya kupewa haki ya kuchukua mtoto bado hajafanya hivyo na mtoto yuko kwa mama yake akitegemea pia wakae zaidi na kuangalia jinsi ya kufanya, kwa wale tunaosikiliza upande mmoja na kutoa hukumu si...
Tafadhali naomba unielekeze kuhusu hiyo Keloid yaani vyote viwili vinafanyika kukatwa na kuchomwa sindano au kimojawapo, naomba unipe contact ya hospital inayofanya vizuri nataka nimpeleke mdogo wangu yaan kinamboa na yeye alitoboa akiwa mkubwa kikatokea hicho kinundu ila ndo hatujui pa kuanzia...
Warumi ngoja nisaidie kuelewesha ni hivi Deception amesema UKIMWI/AIDS na tena ulikuwepo tangu zamani ila asichokubaliana nacho ni kuwa Ukimwi hausababishwi na VVU/HIV kwasababu VVU ni kirusi kisichonauwezo wa kupunguza kinga mwilini ( kutokana na taarifa za kisayansi) sasa unapogundulika kuwa...
Mimi binafsi kuna kitu kimenifungua akili, aunt yangu alikuwa na mgogoro na mume wake aliyekuwa na mahusiano nje ya ndoa muda mrefu tena ulifikia pabaya baada ya mumewe kuzaa na mmoja wa wanawake zake, kukafanywa vikao mume akaomba msamaha ila aunt akasisitiza hatoweza shiriki naye tendo la ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.