Naunga mkono hoja.. Kuna is ishu pia Mbaya sana upande wa watoa huduma especially Drs.. Eti kuanzia sasa NHIF wamekataa kulipia consultations na kufikia hatua ya kuzikata kisa wamelink na Medical council Tanganyika MCT ambao wamewapa majina ya madaktari wote waliosajiliwa Ila hawatakiwi...
Jamani mie sielewi kwa nini tusiwashugulikie kwa kuwashitaki wale wote waliotuingiza ktk mkenge kama huu..au kuna dili ili kuua reli ili tutumie malori na mabasi ambayo ni garama sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.