Recent content by TINE

  1. T

    Kama chama hakimiliki jengo lake, kinawezaje kuwatumikia wananchi kwa ukamilifu?

    Wakati mwingine napata tabu sana kuwaelewa ninyi wananchi. Hivi kupanga ni dhambi? Muhimu ni nini, kuwa na ofisi au kuwa na jengo? Acheni mawazo madogo. Mahali pa kufanyia shughuli panaweza kuwa kwako au pa kupanga. Sisiem pamoja na vitega uchumi vyote, mbona bado sisi masikini?
  2. T

    Hivi kwanini ITV wanapenda kuripoti habari za migogoro zaidi ya za maendeleo?

    Hivi ni habari ipi mzuri unayotaka iandikwe?
  3. T

    Hii tabia ya serikali inalitia aibu Taifa

    Kweli kabisa, wamewafanya waTanganyika wajinga sana. Fukuza hawa watu
  4. T

    Ni nani aliyewapa UKAWA mamlaka ya kuhodhi siasa za vyama vya upinzani?

    Napenda kukufahamisha wewe mtoa mada kuhusu hao watu 11 millioni ambao hawakupiga kura. Kumbuka hii ni failure ya chama tawala na sio wapinzani. Tukiwa bado tunajenga demokrasia, inatakiwa pia iendane na serikali iliyo madarakani (iliyozowea kutukuzwa kwa mfumo wa chama kimoja) iridhie na...
  5. T

    Mkombozi Bank: Miamala iliyofanywa kupitia Akaunti ya VIP Engineering ilikuwa halali

    Kwa uelewa wangu, biashara ya hisa Kuwa mbaya kwa mwanahisa haiathiri mtaji wa kampuni. KAMPUNI KWA KUUZA HISA ZAKE KWA MARA YA KWANZA ( yaani IPO) NDIPO MTAJI ULIPATIKANA AU KUONGEZEKA. Hivyo basi, kuuza na kununua hisa ni biashara ya wanahisa.
  6. T

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    [Nashanga sana POLISI WETU NA INTELIJENSIA YOTE WANAWAACHA RAIA WAKE WANAUAWA. Iweje Polisi wetu wanaweza kupata taarifa za kiintelijensia kuhusiana na maandamano fulani ya wapinzani yataleta maafa lakini wanashindwa kutumia intelijensia kupata habario ya uwezekano wa maauwaji ya Albino, kisha...
  7. T

    Wassira atangaza Neema: Wakulima kulipwa Billion 86

    Bilioni 80 ni pesa nyingi sana kuwapa wakulima kweli hadi walipwe vipisivipisi? Mbona kwenye escrow skandali mtu mmoja alichukuwa mabilioni ikawa sawa tu?
  8. T

    Kikwete na Lowassa kunani tena?

    Mkiangalia vizuri hii picha, Lowasa hayuko front row, yuko row ya pili. worry not guys!
  9. T

    Kombani achemka kujibu swali la Mchungaji Msigwa bungeni

    Jamani, wakati mwingine napata tabu sana kujuwa hivi wanatoa comments zao ni waTz kweli? Hata mimi hapa siwezi peleka watoto wangu shule za serikali kwa hali ilivyo sasa? Mchungaji alitaka sheria hiyo ingekuwapo, shule za umma zingeboreshwa, hivyo kusingekuwa na tofauti ya kusomea ama shule za...
  10. T

    Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    Hili Gazeti wala sio la kuamini. Hata jina la Mbowe hawalijui, Eti Freema? Halafu unategemea habari itakuwa ya maana kweli? Tuachage kusoma magazeti ya aina hii.
  11. T

    Hali yazidi kuwa tete escrow, hapatoshi Dodoma

    Mimi naona, hata hiyo habari yenyewe inutata. kama unasema ripoti haina kitu, inakuwaje basi IPTL wanataka kuwapa rushwa PAC? Hawa waandishi wengine wa habari ziro kabisa, .
  12. T

    Mwigulu Nchemba: Ninayo VIDEO ya Viongozi CHADEMA wakipanga mikakati ya mauaji nchini...

    Nashindwa kuelewa kama huyu Mwigulu alichosema kina ukweli. CCM ndiyo chama tawala chenye dola. Hivi kweli kama kuna kitu kama hicho, ni wakulalamika tena au kuchukua action! Watanzania tunalalamikia mambo mengi tu hayaendi sawa, Maccm nayo yanalalamika, sielewi! naona watupishe tuchape kazi
  13. T

    Ni sahihi kwa Mbowe kulala Hotel ya Dola 700 kwa siku huku wafuasi wake wakishindia Mikate na Maji?

    Naona mnachanganya mambo hapa. Mtoa mada anajaribu kuleta uchochezi. Mbinu hiyo ni ya kizamani sana hata CCM hawaitumii. Umasikini wa watu wa nchi hii umeletwa na walioko madarakani, si Mbowe. Mikataba ya kifisadi! si Mbowe. Wafanyakazi hewa serikalini, si Mbowe wala CDM.<br>Jamani, tujitambue...
  14. T

    Uhaini wa Mtwara ulipangwa

    Nasikitika tu kwamba wabune wetu wa ccm wanadhani eti wananchi wa mtwara hawawezi kufanya kilichofanyika, lazima kuwe na mkono wa mtu. haya ni matusi kwa wana mtwara kwani ni sawa na kusema wanamtwara hawajitambui, hawajui haki yao, hawajui wanachokitaka na kwamba wao ni watu wa kupokea tu. CCM...
Back
Top Bottom