Yaani kuanzia zoezi la Uchaguzi limeanza nimekuwa nikiwahoji wafanyakazi kijanja janja kujua kama watampigia kura nani - kuanzia Urais hadi udiwani. Kwa wafanyakazi kama 35 ambao nimewahoji kata ya Idukilo kwa kweli wanagugumia moyoni na kichini chini tu. Wote kwa URais kwa kweli wamekichoka...
Utakuwa upopoma pia kushindwa kuona tumekuwa washamba! Mkiendeleza ushamba tutahama tu - anyway kwa sababu hainiathiri sana - ninaweza kuvumilia miaka mingine hii mitano ya ushamba ipite! Tutachukua nchi CCM tusiopenda misifa!
Ndiyo maana tumekuwa tukiitwa "watawala washamba" - hii ni kweli kabisa kabisa! Tena ninashuhudia jinsi tunavyochukiwa - hatuoneshwi wazi lakini CCM wenzangu ukweli ni tunachukiwa kweli kweli! Tunajaribu kuminya uhuru wa vyombo vya habari - lakini simu hizi ndiyo zinatumaliza zaidi. Watu...
Achana na siasa wewe! Hata hao ambao ni wagombea wanaweza wakapewa dau wakapisha miCCM. Achana kabisa na majizi ya CCM wewe! Kama waweza kununua wajumbe zaidi ya mia tano watashindwa nini kumnunua mtu mmoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.