Uchaguzi 2020 Kuna dalili CCM itawakata wengi walioongoza na hawataweza kwenda upinzani

Tila-lila2

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
653
1,058
Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani.

Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.

Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.

Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!

Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.

Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!
 
Sio dawa bado watakuwa na muda.
Siku wakikatwa siku hiyo wanateuliwa na upinzani wanaenda kuchukua form NEC katika muda ule ule ambao na hao wateule wa CCM watakuwa wanachukuwa form hizo.
 
Hivi chama cha zamani kinacho jiamini. Na kimefanya mambo mengi hivyo kinaogopa vyama vya msimu? Sitaki kuamini.
 
Wapinzani gani? Chadema tayari wana wagombea, labda cuf
Achana na siasa wewe! Hata hao ambao ni wagombea wanaweza wakapewa dau wakapisha miCCM. Achana kabisa na majizi ya CCM wewe! Kama waweza kununua wajumbe zaidi ya mia tano watashindwa nini kumnunua mtu mmoja!
 
Kyela mgombea wa CHADEMA hawezi kununuliwa. Anaitwa John ni Mchumi wa Kilimo kutoka Chuo dume Sokoine Morogoro. Alikuwemo kwenye kura za maoni za Chadema 2015 alikuwa mshindi wa pili baada ya Mwanyamaki ambae aligombea na kumshinda Mwakyembe lakini hakutangazwa. Na kule Kyela kwa mtaji huu wa Lissu na ushindi wa Chakwera huko malawi ccm msitegemee kitu.
 
Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani.

Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.

Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.

Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!

Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.

Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!
Kwani huko upinzani hakuna walioongoza kura za maoni? Ina maana wakija waliokatwa CCM mtawapisha? Wapinzani mna mawazo ya hovyo kabisa eti wakikatwa CCM watakuja mpinzani, hamuwaaminu wagombea wenu?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
CCM hii inaendeshwa kwa remote control tokea Chattle.

Analotaka mshika remote ndilo linafanywa.
 
Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani.

Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.

Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.

Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!

Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.

Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!
Watazuia wasihamie upinzani ila hawatazuia hao waliokatwa majina na wafuasi wao kuwapigia kura wapinzani.
Note hii mkuu.
 
Kuhusu Kyela ccm hawawezi kufanya kosa kubwa la kumrudisha mwakyembe, wanafahamu kabisa kwamba Mwakyembe hatakiw kabisa na wana kyela, asilmia 98 ya wapiga kura wa kyela hawamtaki kabisa, hata mwaka 2015 alishinda kwa shida sana, Ali kinanasi ndiyo habari ya mjini, ccm wakimpitisha Kinanasi wanachukua jimbo mapema saa4 asubuhi
 
Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani.

Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.

Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.

Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!

Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.

Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!
Kwa maneno mafupi ccm inaenda kujiangamiza yenyewe! Mungu ameamua kuwapiga upofu.

Siku mbili wataingia Kwenye uchaguzi wakiwa na migogoro kila mahali.
 
Hahaha kuna watu hawaeleki, unakuta mwana ccm analalamikia maamuzi ya ndani ya CHADEMA, na wakati mwingine mtu wa CHADEMA anakakamikia maamuzi ya ndani ya ccm.

Jamani kila chama kina utaratibu wake, waacheni wa kule waamue kivyao na kwa muda wao, na nyie wa huku angalieni ya huku, achaneni na ya kule.

Kwanini mwana ccm akae mguu pande, nusu ccm nusu CHADEMA.

Mtapasuka pure kwa tamaa. Huwezi kupata vyote, tulia ulipo na ukikosa yapo maisha nje ya siasa.
 
Back
Top Bottom