Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Inawezekana kabisa majina ya wateule wa CCM yakawa ya mwisho kabisa kufikishwa Tume ya Uchaguzi ili kuepusha wale ambao hawatakiwi wakishakata wasihamie upinzani.
Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.
Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.
Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!
Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.
Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!
Kuna nijadala inaendelea kuwa hao watakaokosa na huku wameongoza upinzani wameshajiwekea mazingira mazuri ya kuhamia upinzani na wanasubiri tu CCM itoe majina.
Ndugu yangu anayefanya kazi Kyela amenitonya aliyeongoza kwa Mwakyembe anasubiri tu CCM imrudishe Mwakyembe yeye ahamia CHADEMA.
Tayari ameshaandaliwa mpango mzima na Sugu na ameshaongea na mteule wa CHADEMA Kyela. Wengi watashangazwa!
Kuliona hilo tayari CCM inachukua tahadhari na inacheoenda kukifanya ni kutoa majina ya wateule wake siku mbili kabla ya Tume ya Uchaguzi kufunga mapokezi ya Fomu hizo ili kuepusha watu hao kuhamia upande wa pili.
Uwezekano ni mkubwa CCM kutoa majina yake tarehe 24 au Tar 25 ili kujihami na wahamaji. Stay tuned!